Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeua Waisrael wangapi?? 🤣Nusu saa iliyopita.
Israel ni dude kubwa sana lenye maguvu na hawa wengine ni wadhaifu wasiokuwa na nguvu. Hivyo mtu mnyonge anapofanikiwa kumpiga hata kwa jiwe mwenye mabavu lazima ASHANGILIE SANA.Waarabu wanajipanga mwezi mzima kurusha bomu Tel Aviv wanaua mbu na mijusi halafu wanajisifia 🤣🤣🤣
Wewe shabiki mandazi wa JF Hezbollah na Iran wameishasema wazi wao wanapiga tagert muhimu siyo kama mabasha zako wao wanapiga majengo na raia, wakitaka kupigq majengo na raia wangefanya hivyp siku nyingi na mabasha zako wanalijua hilo.Mmeua Waisrael wangapi?? 🤣
Watu wanapiga targets hawana haja ya kuuwa raia kama mabwana zenu..Waarabu wanajipanga mwezi mzima kurusha bomu Tel Aviv wanaua mbu na mijusi halafu wanajisifia 🤣🤣🤣
Hawa lolote Gaza mwaka na zadi imewashinda wamebaki kuuwa watoto na kuvunja majengo tu.Israel ni dude kubwa sana lenye maguvu na hawa wengine ni wadhaifu wasiokuwa na nguvu. Hivyo mtu mnyonge anapofanikiwa kumpiga hata kwa jiwe mwenye mabavu lazima ASHANGILIE SANA.
Pia Israel inapopiga Hizbullah kwa makombora mazito na kuwaua INAKUWA SIO HABARI ,lakini Hizbullah anapofanikiwa kurusha jiwe au yai viza na kupiga kichwani kwa Netanyahu HIYO NI HABARI KUBWA SANA DUNIA
Na hilo jengo bila shaka kuna maiti ndani.Alpha Team Tel Aviv is Down I Repeat Tel Aviv is Down Over?!
View attachment 3155694View attachment 3155695View attachment 3155696
Hao Israel wanapiga thousands of tonnes of bombs Gaza ndio maana unaona Gaza inaharibika vile.Kombora zao hazina nguvu, ingependeza nao wangekuwa wanageuza kifusi majengo ya kwao.
Mbona unajikanyaga bro hivi kumbe ilo jengo lililopigwa ni la jeshi???Wewe shabiki mandazi wa JF Hezbollah na Iran wameishasema wazi wao wanapiga tagert muhimu siyo kama mabasha zako wao wanapiga majengo na raia, wakitaka kupigq majengo na raia wangefanya hivyp siku nyingi na mabasha zako wanalijua hilo.
Najikanyanga wapi nakupa taarifa unadhani wapinga choo?Mbona unajikanyaga bro hivi kumbe ilo jengo lililopigwa ni la jeshi???
Wanajeshi waliouliwa Lebanon ni wachache sana, hawazidi elf 1
Kwa upande wa Israel washaua Hezbollah wengi pamoja na viongozi wao, Leo wamepita na msemaji wao
View attachment 3155680
Si haba anawekwa mtu kati.
View: https://x.com/silentlysirs/status/1858636421763932616?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw