This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Tz majinga ni mengi sana! Nchi ya mazombi hii!Safi sana Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda. Kamata wote tupa ndani .maana haiwezekani mtu uuze nyumba ya millioni 50 kwa mkopo wa milioni 3,wakati mhusika akiendelea kufanya marejesho bila shida ya aina yoyote ile.huo ni uhuni na utapeli mkubwa sana ambao haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Hata wewe unatetea ujinga na utapeli huu kwa kuwa tu hayajakukuta na kukupata.
I wish watu wote wangekuwa wanatumia akili kama wewe kwa sababu watanzania ni watu wa kushangilia ujinga.Naomba kuuliza hvi kumtupa mtu ndani kuna impact gani katika kutatua tatizo??? Hvi ukimuweka mtu ndani ndo umekuwa umemkomoa na kutatua hilo tatizo?????
Muungwana hutimiza mkataba, umekopa, kwa hiyari umeweka dhamana, kwamba ukishindwa kulipa nyumba iuzwe, inauzwa, unapewa chenji yako inayobaki, na benki wanachukua chaoBraza utakuwa shule huna au?? Hata kama riba iweje ......million 3.......na kashaanza kurejesha mkopo ndio huuze nyumba yake ? Kweli? Hivi kama angekuwa ni ndugu yako huyu jamaa ungeongea hiki ulicho ongea? Kapotea Ben saanane hata wengine hamumufahamu ila katetewa na kira mtu....HAKI.... ni jambo la kira mtu lisibague wala kuwa la aina fulani kisa linaenda kwa mtu fulani hawe wa juu au chini.......mungu akubariki
Una nyumba ya 50M alafu unaenda kulalamika hadharani kushindwa kulipa 3M?Kama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
Watu ni wajinga na badala ya kujadili kiini cha tatizo wanashangilia ujinga. Nchi yetu tatizo ni CCM. Situation ya aina hii ilipaswa isitokee kama kungekuwa na uongozi bora.Kama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
Hizi saccos zina regulations, hazinoperate wildly bila overwhatch. Kuna body ya serikali ina shughulika nao. Kilichotokea kwa huyo baba ni misconduct kwenye saccos husika, hamna kosa la serikali hapa.Lakini hamuoni kuwa tatizo ni serikali yenyewe kufumbia macho vi-saccos ku operate kwa mtindo huo? Hili analofanya Makonda la kusema tia watu ly ndani ni uhuni. Nchi haindeshwa kwa viongozi kutoa amri kuwa watu wawekwe ndani.
Kuwashwa kuwashwaa ............mbaya zaiidi kuwashwa bila basha ........wenzanko wanapakwa futa wewe una jinyea kwa mawazo ooh kwa mawazoo oohHaya mambo yanahitaji yafanyike kwa kufuata taratibu na sheria. Hivi huoni kama ni kweli nyumba ya kiasi hicho imeuzwa kwa sababu ya milioni 3 basi kama nchi tuna shida kubwa kabisa na suhuhisho siyo kuweka watu ndani? BTW huuze = uuze, kira = kila, hawe = awe,
umeongea kitoto sana, yaani kama mtu wa miaka 15 usiye elewa maisha ni niniKama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
Aisee kumbe mara chache huwa unamiliki akili nilijuaga zimefyatuka mazimaSafi sana Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda. Kamata wote tupa ndani .maana haiwezekani mtu uuze nyumba ya millioni 50 kwa mkopo wa milioni 3,wakati mhusika akiendelea kufanya marejesho bila shida ya aina yoyote ile.huo ni uhuni na utapeli mkubwa sana ambao haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Hata wewe unatetea ujinga na utapeli huu kwa kuwa tu hayajakukuta na kukupata.
Nilijua wewe ni mtu wa hovyo kutokana na unavyoshindwa hata kuandika maneno rahisi ya kiswahili. Mawazo muda wote yako kwenye kulawitiwa na kulawitiana. Typical bongo mindset!Kuwashwa kuwashwaa ............mbaya zaiidi kuwashwa bila basha ........wenzanko wanapakwa futa wewe una jinyea kwa mawazo ooh kwa nawazoo ooh
Naamini kama wameuza nyumba ya milioni 50 .........basi hata waishushe thamani iwe 40......wakiuza si chao ni milion 3......hizo nyingine ziko wapi? Wangekuwa wamefata mkataba huo huyu jamaa hasingekuja kwa makondaMuungwana hutimiza mkataba, umekopa, kwa hiyari umeweka dhamana, kwamba ukishindwa kulipa nyumba iuzwe, inauzwa, unapewa chenji yako inayobaki, na benki wanachukua chao
Umepost upupu gani yani mtu anadaiwa miliion 3 unamuuzia Nyumba? Hizi Demokrasia zinatumika vibaya watu kama hawa ni wakunyonga tu.View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Ni sawaUlitaka wauze sidiria zako?
Una uhakika gani maelezo aliyotoa mkopaji ni ukweli kwa asilimia zote? Kama kuna body zinasimamia hizo saccos ilikuwaje nyumba iuzwe? BTW the whole scenario ya nyumba kuuzwa kwenye mazingira kama haya huoni kuwa inaonyesha serikali haifanyi kazi? Kama mtu anaweza kuja na kuuza nyumba yako bila kufauata utaratibu na vyombo vya serikali vinavyo deal na mambo kama haya vikashindwa kukusaidia huoni tuko kwenye nchi ya ajabu kabisa?Hizi saccos zina regulations, hazinoperate wildly bila overwhatch. Kuna body ya serikali ina shughulika nao. Kilichotokea kwa huyo baba ni misconduct kwenye saccos husika, hamna kosa la serikali hapa.
Suala la kusema weka ndani, ni baada ya muhusika kupeleka mamalamiko, ( una uhakika gani muhusika hakuwahi kwenda polisi au kwenye vyombo vya sheria before?
Ulisha kaa ndani ww ukikaa siku tatu tu akili inakaa sawa.Usiombe ukaenda huko acha kabiisa.Naomba kuuliza hvi kumtupa mtu ndani kuna impact gani katika kutatua tatizo??? Hvi ukimuweka mtu ndani ndo umekuwa umemkomoa na kutatua hilo tatizo?????
Wateja waliokopa kwenye kampuni ya Heritage financing limited, ya mkoani Arusha, wafike kumuona makonda!View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Sikutaka kukomenti chochote lakini nadhani una udhaifu mkubwa wa kuelewa.View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?