Biashara yenu ya mikopo kausha damu dhamira yake kubwa ni dhuluma. Sio kusaidia watuMaskini na Kushindwa kulipa Madeni wapi na wapi?
Maskini ndio wanaleta maendeleo ya Nchi?
Toa upunguani wako,kama umeshindwa kulipa deni nyumba itapogwa mnada hukulazimishwa kukopa,dawa ya deni ni kulipa sio Makonda.
Huyo mjinga mwenzako adhibitiwe atavuruga biashara ambayo ilikuwa imeanza kurudi kwenye mstari.
Sasa kama unalijua hilo mbona umepanic sana utafikiri unaujua mkataba wao, jitahidi kuficha UPUMBAVU wako mkuuHamna kesi hapo, na hakuna jinai hapo, hilo ni suala la kimkataba, ngombe wewe
Lile tapeli Mmasi lilikua linamgomea Waziri Jerry Slaa kutoka ndani ya nyumba, likatupwa Nondo, ndani ya lisaa likaomba poo kwa Waziri na likahama usiku huo.huo! Usicheze na sukumia ndani,kunatisha balaa,hasa kama siyo mzowefu nako!!Ulisha kaa ndani ww ukikaa siku tatu tu akili inakaa sawa.Usiombe ukaenda huko acha kabiisa.
Yeye alienda kukopaBraza utakuwa shule huna au?? Hata kama riba iweje ......million 3.......na kashaanza kurejesha mkopo ndio huuze nyumba yake ? Kweli? Hivi kama angekuwa ni ndugu yako huyu jamaa ungeongea hiki ulicho ongea? Kapotea Ben saanane hata wengine hamumufahamu ila katetewa na kira mtu....HAKI.... ni jambo la kira mtu lisibague wala kuwa la aina fulani kisa linaenda kwa mtu fulani hawe wa juu au chini.......mungu akubariki
Kuna Uhuni kati ya Wakusanya madeni na maofisa mikopo wa Benk.... wanatumia ufinyu wa uelewa wa wakopaji kudhurumu hasa Nyumba na viwanja vilivyo wekwa kama dhamana ya mikopo.... aingiii akilini deni la 5 millions lina sababisha nyumba ya 50 M kuuzwa na hawa wakusanya madeni na mwenye nyumba asipewe ata shilingi. Humu JF kuna uzi mmtu analalamika hati yake ya nyumba huu ni mwaka wa 5 NMB Tabora awataki mrudishia.Kama alijakukuta wewe au ndugu yako wa karibu unaweza ona hili la makonda ni uvunjifu wa sheria, ila likiwa lako usingesema haya!View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Madako wewe mnufaika wa mikopo kausha damu,endelea kufikiri kwa kutumia kichwa kuwaumiza wananchi masikiniUsitumie kichwa kubebea kamasi, tumia kichwa kufikiri
Hapa ndio wasaa unashauri angefanya biashara sio? Au angelima sio? au angefuga sio? Wewe unaefanya hivyo vitu milioni 50 unazo?Kama mtu umekopa milioni 3 huku ana nyumba ya 50m ikawaje akaanza kusumbua kurudisha mkopo? Tatizo wenye nyumba wengi Tanzania ni maskini... mtu hajajiimarisha kiuchumi anaenda kutumbukiza 50m kwenye nyumba. Matokeo yake ndo hizi aibu za kushindwa rejesho la 3m.
Nywanoko ebhe,loshindo lwa ng'wanokoLoshindo lwako, mnambiti ebhe
Sawa Huwa unafuatwa kwako kukopaBiashara yenu ya mikopo kausha damu dhamira yake kubwa ni dhuluma. Sio kusaidia watu
Jamaa huwa ni msoma upepo sana (publicity).Hapa ndio makonda anapopata point 3 bila shida yeyote.........maana kajua kutembelea wakati wake vizuri............media zote ziko kwake hao wengine wakuu wa mikoa wanafanya kazi gani??
Wewe mpumbavu ungekaa kimya. Sasa hapo Makonda kachukua tu maamuzi ya kisiasa ila mahakamani huyo aliyeuziwa nyumba hachomoki na anaweza ongezewa deni la kulipa gharama za kesi. Acheni kutaka huruma kwenye biashara za watu.umeongea kitoto sana, yaani kama mtu wa miaka 15 usiye elewa maisha ni nini
sema umejaliwa kujua kusoma na kuandika ila akili ya kuchambua mambo naomba nikwambie hauna hata kidogo
CCM ndo ilienda kukopa huko SACCOSS?Watu ni wajinga na badala ya kujadili kiini cha tatizo wanashangilia ujinga. Nchi yetu tatizo ni CCM. Situation ya aina hii ilipaswa isitokee kama kungekuwa na uongozi bora.
Nakuunga mkono. DAWA YA DENI NI KULIPA.Maskini na Kushindwa kulipa Madeni wapi na wapi?
Maskini ndio wanaleta maendeleo ya Nchi?
Toa upunguani wako,kama umeshindwa kulipa deni nyumba itapogwa mnada hukulazimishwa kukopa,dawa ya deni ni kulipa sio Makonda.
Huyo mjinga mwenzako adhibitiwe atavuruga biashara ambayo ilikuwa imeanza kurudi kwenye mstari.
Hapa Makonda ndio anatimiza wajibu kama Baba mlezi wa mkoa na wananchi wake. Wahuni wa Arusha mwisho wao umefikaBila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?