Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

Makonda aanza kukamata wakusanya madeni (auctioneers) wanaotumwa na mabenki

Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
umetumwa na bank ipi ? kwann wamekamatwa ? yaan Makonda akamate mtu kisa kaja kukusanya deni lake ambayo sio kosa kisheria , Siku hz watu si wajinga kuandika nusu nusu ili mumchafue mtu

SIMPEND MAKONDA ILA HII TAARIFA INA MAPUNGUFU MENGI SANA KUMJUDGE MAKONDA
 
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
very bold leader of modern times :KasugaYeah:
 
Tz majinga ni mengi sana! Nchi ya mazombi hii!

Uliweka nyumba dhamana ,umeshindwa kulipa au kumalizia deni unatakaje.

Nyie wajinga kajifunzeni mikopo ya Kichina ilivyo.
Kwamba Makonda ni mjinga kumlinda mtu aliyechukua mkopo kisha kashindwa kulipa , Msipende kujadili mambo kwa chuki zenu binafsi kwa mtu fulani , huu ujinga wenu unakera sana , Hao wakusanya madeni kuna namna walitoka nje ya ethics zao , Makonda haez kuwa mwehu hivyo kubattle na bank
 
Maskini na Kushindwa kulipa Madeni wapi na wapi?

Maskini ndio wanaleta maendeleo ya Nchi?

Toa upunguani wako,kama umeshindwa kulipa deni nyumba itapogwa mnada hukulazimishwa kukopa,dawa ya deni ni kulipa sio Makonda.

Huyo mjinga mwenzako adhibitiwe atavuruga biashara ambayo ilikuwa imeanza kurudi kwenye mstari.
ukute huelew lolote kwenye huu mkasa ila unavyoelezea , watz sijui nan kawaloga , kwamba mtu ashindwe kulipa deni halafu Makonda aje amkingie kifua huyo mtu ? CHUKI IKIZIDI UTATIWA MIMBOR TU
 
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?


Unaongeza chumvi ukisema ma Bank, hao ni watoa mikopo wahuni.
 
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.

Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.

Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Hujasema kwa nini wanakamatwa,be transparent.Hawezi kuwakakata bila sababu,inawezekana mnauza mali za wateja bila kujali thamani halisi au mnawaibia wateja kwa ku-collude na wanunuzi kwa ku-fix bei zinazowaibia.
 
Mikopo ina muda maalum wa kulipa, una mkataba wa mwaka mmoja umalize deni, sasa miaka mitatu imepita, unatakiwa rejesho la laki tano kila mwezi, wewe unapeleka elfu ishirini eti unadai bado unarejesha
Sheria za madai zina taratibu zake. Na kufilisi pia kuna taratibu zake na kuna vibali. Ndo maana nikasema ukimpa mtu mkopo wa M3 na liriba likubwa lisilofuata miongozo ya BOT halafu dhamana ni nyumba huna akili maana hiyo nyumba mkopaji akiweka kizingiti kidogo tu unaingia kwenye matatizo.
 
Sheria za madai zina taratibu zake. Na kufilisi pia kuna taratibu zake na kuna vibali. Ndo maana nikasema ukimpa mtu mkopo wa M3 halafu dhamana ni nyumba huna akili maana hiyo nyumba mkopaji akiweka kizingiti kidogo tu unaingia kwenye matatizo.
Akaweke
 
Braza utakuwa shule huna au?? Hata kama riba iweje ......million 3.......na kashaanza kurejesha mkopo ndio huuze nyumba yake ? Kweli? Hivi kama angekuwa ni ndugu yako huyu jamaa ungeongea hiki ulicho ongea? Kapotea Ben saanane hata wengine hamumufahamu ila katetewa na kira mtu....HAKI.... ni jambo la kira mtu lisibague wala kuwa la aina fulani kisa linaenda kwa mtu fulani hawe wa juu au chini.......mungu akubariki
Huyu Chiembe hana uelewa kabisa. Yeye ni chawa tu. Anawakilisha machawa wa, hovyo kabisa.
 
Tz majinga ni mengi sana! Nchi ya mazombi hii!

Uliweka nyumba dhamana ,umeshindwa kulipa au kumalizia deni unatakaje.

Nyie wajinga kajifunzeni mikopo ya Kichina ilivyo.
Hapana,,kunamama sengerema kalipa deni lots lakini NMB hawajpa hati yake ya Nyumba,je hapo unasemaje kama wakikamtwa watu wa NMB?So tusilaumu watu wanaokopa wanapolalamika kuonewa
 
Back
Top Bottom