Pre GE2025 Makonda aanzisha mchezo wa mashindano ya pikipiki Arusha

Pre GE2025 Makonda aanzisha mchezo wa mashindano ya pikipiki Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi inatakiwa kutumia kila kitu chake kwa faida kama vijana wanaona ni kitu kinafaha ni vyme akakipa nguvu tu hatupaswi kudharau mambo kama aya duniani uko watu wanaingiza pesa nyingi kwa michezo na kutengeneza content za namna iyo wazee wakibongo hawawezi kumuelewa mwamba kiraisi lakin sisi vijana tunampata vizuri kwenye ilo jambo [emoji1306][emoji1306]
Kazi ya mkuu wa mkoa hii?
 
Back
Top Bottom