NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Makonda hawezi danganya chief!hata akiwa mwenezi alinusurika ajali Ile,baada ya hapo hakuendelea Tena hadi alipopewa majukumu mengine!!Ipo siku Makonda ataachia mzigo kwenye mikutano ili tu atrend.
Hiyo ishu ni real na ameamua kusanua ili kujilinda Ili na hao jamaa wa back off!
Hilo nyomi kwenye mikutano yake inaumiza Sana wapiga deal na kuwa outshine wakubwa kwenye mishe zao!