Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Pre GE2025 Makonda adai kuwindwa na Watu 8

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ipo siku Makonda ataachia mzigo kwenye mikutano ili tu atrend.
Makonda hawezi danganya chief!hata akiwa mwenezi alinusurika ajali Ile,baada ya hapo hakuendelea Tena hadi alipopewa majukumu mengine!!

Hiyo ishu ni real na ameamua kusanua ili kujilinda Ili na hao jamaa wa back off!

Hilo nyomi kwenye mikutano yake inaumiza Sana wapiga deal na kuwa outshine wakubwa kwenye mishe zao!
 
Utawala huu hautaki mtu anaehoji upigaji wa fedha za umma!

Na hii ndio DNA ya chama changu iliomea na kukita mizizi ndani ya CCM!!

Ccm sio chama Tena Cha wakulima na wafanyakazi kama zamani Bali Cha wapiga dili na mafisadi!!

Anaetaka kuondoa Hali hiyo anatishiwa maisha coz hawataki asali izuiwe kutiririka!

Mungu kibariki chama changu CCM kiondoe ubadhirifu ndani ya chama!
Kiondoe ufisadi kwa aina ya watu haohao?
 
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Huyu mjinga anadeka ili apewe ulinzi kama ilivyokuwa enzi za dhalim Magufuli.
 
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Hakuna mtu wa kujishuhulisha na Bashite anatafuta kiki za kijinga.
 
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.

Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.

Ujumbe wake huu hapa
---

Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Awindwe na nani mpumbavu tu huyu. Damu za watu alioua zinamtesa
 
Back
Top Bottom