NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Makonda hawezi danganya chief!hata akiwa mwenezi alinusurika ajali Ile,baada ya hapo hakuendelea Tena hadi alipopewa majukumu mengine!!Ipo siku Makonda ataachia mzigo kwenye mikutano ili tu atrend.
Kiondoe ufisadi kwa aina ya watu haohao?Utawala huu hautaki mtu anaehoji upigaji wa fedha za umma!
Na hii ndio DNA ya chama changu iliomea na kukita mizizi ndani ya CCM!!
Ccm sio chama Tena Cha wakulima na wafanyakazi kama zamani Bali Cha wapiga dili na mafisadi!!
Anaetaka kuondoa Hali hiyo anatishiwa maisha coz hawataki asali izuiwe kutiririka!
Mungu kibariki chama changu CCM kiondoe ubadhirifu ndani ya chama!
Kimsingi ndicho afanyacho.Makonda ni bingwa wa content hapoi. Anataka muda wote mumtaje 😂
Huyu mjinga anadeka ili apewe ulinzi kama ilivyokuwa enzi za dhalim Magufuli.Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Class mate wako anazingua sana.Makonda this....👼
Makonda that.....😇
Inaruhusiwa sanaPublic Sympathy
Anavaa pampas,mzee six alikata kipira kitambo.Ipo siku Makonda ataachia mzigo kwenye mikutano ili tu atrend.
Hakuna mtu wa kujishuhulisha na Bashite anatafuta kiki za kijinga.Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Yani katushika vilivyo hatufurukuti yani😅Makonda ni bingwa wa content hapoi. Anataka muda wote mumtaje 😂
Awindwe na nani mpumbavu tu huyu. Damu za watu alioua zinamtesaMkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Kama mtekaji mwenyewe ni mimi itakuaje sasa.nikitekwa kk si utakuja nitoa kwa dhamana
Hivi niulize hizo ramli chonganishi huwa zinasema ukweli? Au zinaongopa?Badala atoe taarifa ktk vyombo vya usalama yeye anatoa taarifa ktk vyombo vya habari
Hizo zitakuwa ramli chonganishi