peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nyumba akihama kiongozi huwa zinakarabatiwa kwanza kabla ya mwingine kuingia, Rangi na Furniture ni kawaida sanaKwa hali hii, tutafika?
Kwa hali hii, tutafika?
Kiki za waganga njaa wa ba vichaaKwa hali hii, tutafika?
Huku analalamika wafanyabiashara wanakwepa kodiKwa hali hii, tutafika?
Acheni ujuaji usio tija ,kama hamjui taratibu za kukabudhiana nyumba za serikali ni jambo jema kuuliza,by the way unaushahidi gani kuwa hizo gharama za kulala hotel kwa comrade Makonda ni juu ya mlipa kodi,what if ni kwa pesa yake .?Kwa hali hii, tutafika?