Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Habari hizi zimfikie yule kada Lucas Mwashambwa popote alipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumishi wa Umma pesa zake kazitoa wapi??Pili ukae ukijua wafanyabiashara wenye pesa halali wako makini sana na matumizi ya pesa...Acheni ujuaji usio tija ,kama hamjui taratibu za kukabudhiana nyumba za serikali ni jambo jema kuuliza,by the way unaushahidi gani kuwa hizo gharama za kulala hotel kwa comrade Makonda ni juu ya mlipa kodi,what if ni kwa pesa yake .?
Kiongozi aliyepita anapaswa kukabidhi Nyumba baada ya siku 30, so hapo Bashite yupo sana tu hadi 30 zipite ni haki yake huto ni tuvitu tudogo sanaKwa hali hii, tutafika?
😒Habari hizi zimfikie yule kada mwenye akili kiduchu Lucas Mwashambwa popote alipo.
Ngoja tuoneHeshima kwenu.
Wakaazi wa Jiji la Arusha walikumbwa na mafuriko makubwa usiku wa jana kuamkia leo.
Wakati hali hiyo ikiwatesa wananchi Mkuu wao wa Mkoa anasaga na kuponda maisha Grand Melia huku akiambana na msafara mkubwa wa magari ya kifahari pasipo na sababu za msingi.
Ngongo kwasasa Ngaramtoni ya chini.
Kwa kufanya kazi ,kwani hana mshahara plus posho?Mtumishi wa Umma pesa zake kazitoa
YeahMasikini akipata makalio ulia.........
Halafu na ulimbukeni unachangia.
Mafisadi wameshaanza akumpa ofaHeshima kwenu.
Wakaazi wa Jiji la Arusha walikumbwa na mafuriko makubwa usiku wa jana kuamkia leo.
Wakati hali hiyo ikiwatesa wananchi Mkuu wao wa Mkoa anasaga na kuponda maisha Grand Melia huku akiambana na msafara mkubwa wa magari ya kifahari pasipo na sababu za msingi.
Ngongo kwasasa Ngaramtoni ya chini.
Uchochezi ,ungepaza sauti hapo hapo ulipomuona akakusikia lakini umbeya udaku na majungu kama mange haraka sana ukakimbilia kupandisha uzi!Heshima kwenu.
Wakaazi wa Jiji la Arusha walikumbwa na mafuriko makubwa usiku wa jana kuamkia leo.
Wakati hali hiyo ikiwatesa wananchi Mkuu wao wa Mkoa anasaga na kuponda maisha Grand Melia huku akiambana na msafara mkubwa wa magari ya kifahari pasipo na sababu za msingi.
Ngongo kwasasa Ngaramtoni ya chini.
😂😂😂Habari hizi zimfikie yule kada mwenye akili kiduchu Lucas Mwashambwa popote alipo.
Kwa hiyo ulitaka ale ugali maharageHeshima kwenu.
Wakaazi wa Jiji la Arusha walikumbwa na mafuriko makubwa usiku wa jana kuamkia leo.
Wakati hali hiyo ikiwatesa wananchi Mkuu wao wa Mkoa anasaga na kuponda maisha Grand Melia huku akiambana na msafara mkubwa wa magari ya kifahari pasipo na sababu za msingi.
Ngongo kwasasa Ngaramtoni ya chini.
Na bado hamjasemaKwa hali hii, tutafika?
Hii Nchi ina wanga sana mkuuWachawi wengi
Fedha anazotumia Grand Melia zingepelekwa kusaidia wahanga wa mafuriko.Kwa hiyo ulitaka ale ugali maharage
Hii ndio kazi ya upinzani
Ku tweet tu
Katika ufisadi unaoendelea TZ KWEnye miradi, huu nao ni ufisadi au umeleta umbeya
Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina
Hamna akil
Hii ndio kazi ya upinzani
Ku tweet tu
Katika ufisadi unaoendelea TZ KWEnye miradi, huu nao ni ufisadi au umeleta umbeya
Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina
Hamna akil
Atakuambia hawajakutana barabarani