Captain Fire JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 2,435 Reaction score 5,000 Apr 12, 2024 #121 Huo ni wivu wa kijinga ! Tafuta hela Cc: ephen_
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 14,949 Reaction score 54,485 Apr 12, 2024 #122 Captain Fire said: Huo ni wivu wa kijinga ! Tafuta hela Cc: ephen_ Click to expand... Kama anatumia pesa zake hamna tatizo Kama anatumia pesa za umma tatizo lipo
Captain Fire said: Huo ni wivu wa kijinga ! Tafuta hela Cc: ephen_ Click to expand... Kama anatumia pesa zake hamna tatizo Kama anatumia pesa za umma tatizo lipo
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Apr 12, 2024 #123 Megalodon said: Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina Hamna akil Click to expand... Kwani hiyo Tume wameletewa wapinzani??? Wapiga kura wa Tanzania wote ni wapinzani??? Sasa Kwa hilo la Makonda ulitaka "aliyetwiti" afanye nini??? Mnapenda kukosoa upinzani huku mkijifanya mnaichikia CCM mnayoitukuza!!
Megalodon said: Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina Hamna akil Click to expand... Kwani hiyo Tume wameletewa wapinzani??? Wapiga kura wa Tanzania wote ni wapinzani??? Sasa Kwa hilo la Makonda ulitaka "aliyetwiti" afanye nini??? Mnapenda kukosoa upinzani huku mkijifanya mnaichikia CCM mnayoitukuza!!
SYLLOGIST! JF-Expert Member Joined Dec 28, 2007 Posts 8,189 Reaction score 7,853 Apr 12, 2024 #124 Von Bismarck said: Eti upinzanzi kwa style hii tuwape Nchi. Hapana kwa kweli bora nikaa bila kupiga kula Click to expand... Piga kura, hata kama ni ya Hapana [X] Hiyo ni haki yako mkuu. Chagua kwa umakini 2025
Von Bismarck said: Eti upinzanzi kwa style hii tuwape Nchi. Hapana kwa kweli bora nikaa bila kupiga kula Click to expand... Piga kura, hata kama ni ya Hapana [X] Hiyo ni haki yako mkuu. Chagua kwa umakini 2025
Captain Fire JF-Expert Member Joined Jul 23, 2023 Posts 2,435 Reaction score 5,000 Apr 12, 2024 #125 ephen_ said: Kama anatumia pesa zake hamna tatizo Kama anatumia pesa za umma tatizo lipo Click to expand... Nakazia!!
ephen_ said: Kama anatumia pesa zake hamna tatizo Kama anatumia pesa za umma tatizo lipo Click to expand... Nakazia!!