Makonda aitwa Mungu, ndio anatengezwa mwingine wa kutukuzwa na kuogopwa?

Makonda aitwa Mungu, ndio anatengezwa mwingine wa kutukuzwa na kuogopwa?

Abomination!!!

Ikiwa mtu huyu alitengezwa kusema aliyosema, HAKIKA mtalipa.
 
Mtu ametumia Ubongo wake na Ubongo wa wengine na amefikiri kwa kutumia Akili yake mpaka mipakani mwa fuvu lake, na alipofikia kwa maoni yake nikusema

"Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake"


Hivi, Hayati Raisi aliandaliwa na nani?

Tafakar, ila Chunga sana Jibu lako.
 
Huna akili ya kuniambia nisome katikati ya mistari.

Umewekewa video angalia ndio uje na fuvu lako apa
Wewe mbwia unga acha kukaza fuvu ,Mungu ni mmoja tu hata kama unampenda Makonda huyo sio Mungu. Kubali kataa mzee kasahau script ya igizo mliompatia akajikuta anamuita Makonda Mungu halafu mbwia unga kama wewe unaelewesha unakaza fuvu.
 
Mwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.

Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?

Kwenu Wakuu.

Pamoja ujuha woote tumpongeze kwa kugomea kuchukua ama kukubali sifa za Mungu.

Huyo mzee ametumwa wala hana jipya.

CCM ijisahihishe au ndo inakwenda ivo
 
Nchi hakuna upinzani kuna genge la wapotoshaji na Rais wake ni Mzee wa Ubelgiji.Makonda amekataa kuitwa Mungu ww unataka kutuaminisha Makonda anajiita Mungu huu ujuaji wa Marangu Mtoni acheni
 
Mungu ninayemuamini uwa hadhihakiwi na anajibu Kwa mapigo mazito yasiyojibika.

Nakuomba Paul Makonda Leo piga goti muombee toba huyo mzee Kwa Mungu aliye hai ili uepukane na mapigo ya Mungu aliye hai
Puumbavu!! Aite mwingine halafu aadhibiwe Makonda? Makonda mwenyewe kakataa!!

Hebu punguzeni chuki enyi Marehemu watarajiwa
 
Kwenye mikutano ya kisiasa lama hii, Herode aliitwa Mungu, Maraika akatumwa papo hapo akatwanga akadedi, na waliomuita wakamkimbia anafia jukwaani.

Kuanza kuitwa Mungu na ukafurahi au ukapinga huku kimoyomoyo unaahukuru ni hatua chache kwenye anguko.

Aepuke kabisa hilo
Mwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.

Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?

Kwenu Wakuu.

Wewe mpumbavu kabisa! Makonda hajakubali kuitwa Mungu! Wajinga kama nyie endeleeni kuokoteza maneno!
 
Mwenezi kakataa kuitwa Hilo Nina kwenye mkutano huo kwa maneno mazito kabisa

Bado wewe punguani umeileta huku kiuchonganishi

Kunguni wa jera kabisa
Hapo sawa! Inabidi uwakemee! Hata katika maisha ya kawaida ukiwa na akili timamu mtu aje na kuanza kukuita Mungu?? Hilo jina linaogopesha! Mimi naweza kukumbiza kwa mawe!
 
Mtu kama unataka kupima kina cha maji kwa miguu miwili kuhusu mamlaka ya jina lenye ukuu, nenda mtaani jitangaze kuwa "mimi ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania" alafu upate watu wawili au watatu wakusapoti uje uone mziki wake!
Kipindi cha uchaguzi watu wanaweza kuigiza kwasababu hata aliyepo anakuwa amevaa kofia mbili "kofia y rais na kofia ya kugombea urais". Wagombea wenzake wanaweza kuitwa maraisi na wapambe wao lakini nje ya hapo thubutu?? Alafu mtu akuite "Mungu" alafu uchukulie poa! Thubutuu??
 
Lete ushahidi! Magufuli alikuwa mcha Mungu! Asingenyamaza kuitwa Mungu!
Aliitwa Mh. Mungu na Profesa Kabudi hiyo kitu watu wengi waliona na kusikia hata humu ipo. Sasa kama unabisha bisha tu. Sina muda wa kubishana na wewe.
 
Wapi Magu aliitwa Mungu! Tatizo sio kuitwa Mungu! Tatizo ni kusikia wanakuita alafu ukanyamaza! Inabidi uwakemee! Ukinyamaza inamaana unataka kutwaa utukufu wa Mungu! Utukufu ni wa Mungu peke yake!
Labda wewe bado mtoto, aliyemwita Magufuli mheshimiwa mungu ni PROFESSOR PALAMAGAMBA KABUDI (MB & WAZIRI WAKATI HUO). Hata kama Magufuli hakumtuma ila hakumkemea.
Makonda kakemea.
 
Mwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.

Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?

Kwenu Wakuu.

Ilitakiwa mkutano huu usitishwe hapo hapo na alieitwa Mungu kwanza angekanusha maneno hayo kwa ukali hapo hapo watu wakisikia na kumwambia Mungu mm ni mdudu tu siwezi kamwe kuwa kama wewe.na angetakiwa kujishusha na kujinyenyekeza kwa Mungu muda wote mbele ya watu na sirini.otherwise Mungu ni mwenye wivu lazima litakupata jambo utukufu wa Mungu hauguswi
 
Back
Top Bottom