Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
jamii forums kwa sasa inaanza kuwa kero. Sijui ni kwa nini wanaruhusu huu ujinga kutamalaki humu jukwaani.Uzi wa 18 huu kwa siku ya leo wa kumuhusu Makonda.lipo jambo sio bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamii forums kwa sasa inaanza kuwa kero. Sijui ni kwa nini wanaruhusu huu ujinga kutamalaki humu jukwaani.Uzi wa 18 huu kwa siku ya leo wa kumuhusu Makonda.lipo jambo sio bure.
Kamuulize kabudi.Wapi Magu aliitwa Mungu!
Wewe mbwia unga acha kukaza fuvu ,Mungu ni mmoja tu hata kama unampenda Makonda huyo sio Mungu. Kubali kataa mzee kasahau script ya igizo mliompatia akajikuta anamuita Makonda Mungu halafu mbwia unga kama wewe unaelewesha unakaza fuvu.Huna akili ya kuniambia nisome katikati ya mistari.
Umewekewa video angalia ndio uje na fuvu lako apa
Pamoja ujuha woote tumpongeze kwa kugomea kuchukua ama kukubali sifa za Mungu.Mwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.
Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?
Kwenu Wakuu.
Yaani mpk hapo Makonda hamalizi miaka 3 atakufa.
Puumbavu!! Aite mwingine halafu aadhibiwe Makonda? Makonda mwenyewe kakataa!!Mungu ninayemuamini uwa hadhihakiwi na anajibu Kwa mapigo mazito yasiyojibika.
Nakuomba Paul Makonda Leo piga goti muombee toba huyo mzee Kwa Mungu aliye hai ili uepukane na mapigo ya Mungu aliye hai
Wewe ambaye hujaitwa hata mwenyekiti wa Mtaa umepanga kufa lini?Yaani mpk hapo Makonda hamalizi miaka 3 atakufa.
Hata Kabudi alimuita Magufuli Mungu, hakumaliza miaka 3 akafa.
Kwenye mikutano ya kisiasa lama hii, Herode aliitwa Mungu, Maraika akatumwa papo hapo akatwanga akadedi, na waliomuita wakamkimbia anafia jukwaani.
Kuanza kuitwa Mungu na ukafurahi au ukapinga huku kimoyomoyo unaahukuru ni hatua chache kwenye anguko.
Aepuke kabisa hilo
Wewe mpumbavu kabisa! Makonda hajakubali kuitwa Mungu! Wajinga kama nyie endeleeni kuokoteza maneno!Mwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.
Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?
Kwenu Wakuu.
Hapo sawa! Inabidi uwakemee! Hata katika maisha ya kawaida ukiwa na akili timamu mtu aje na kuanza kukuita Mungu?? Hilo jina linaogopesha! Mimi naweza kukumbiza kwa mawe!Mwenezi kakataa kuitwa Hilo Nina kwenye mkutano huo kwa maneno mazito kabisa
Bado wewe punguani umeileta huku kiuchonganishi
Kunguni wa jera kabisa
Lete ushahidi! Magufuli alikuwa mcha Mungu! Asingenyamaza kuitwa Mungu!Hakukemea badala yake akakenua,Mungu hachagii utukufu wake na binadamu
Aliitwa Mh. Mungu na Profesa Kabudi hiyo kitu watu wengi waliona na kusikia hata humu ipo. Sasa kama unabisha bisha tu. Sina muda wa kubishana na wewe.Lete ushahidi! Magufuli alikuwa mcha Mungu! Asingenyamaza kuitwa Mungu!
Ni sahihi, wanampa air time sijui kwa nini humu JF. Inawezekana ni yeye mwenyewe anajipa Promo au chawa wapo kazini. Anakuzwa bila sababu yoyote ya msingi.Uzi wa 18 huu kwa siku ya leo wa kumuhusu Makonda.lipo jambo sio bure.
Labda wewe bado mtoto, aliyemwita Magufuli mheshimiwa mungu ni PROFESSOR PALAMAGAMBA KABUDI (MB & WAZIRI WAKATI HUO). Hata kama Magufuli hakumtuma ila hakumkemea.Wapi Magu aliitwa Mungu! Tatizo sio kuitwa Mungu! Tatizo ni kusikia wanakuita alafu ukanyamaza! Inabidi uwakemee! Ukinyamaza inamaana unataka kutwaa utukufu wa Mungu! Utukufu ni wa Mungu peke yake!
Tatizo la mods hili, kuna nyuzi nyingi tui za kuhusu Jambo moja huanzishwa lakini huunganishwa ila za makonda sijui wanaziogopa?jamii forums kwa sasa inaanza kuwa kero. Sijui ni kwa nini wanaruhusu huu ujinga kutamalaki humu jukwaani.
Ilitakiwa mkutano huu usitishwe hapo hapo na alieitwa Mungu kwanza angekanusha maneno hayo kwa ukali hapo hapo watu wakisikia na kumwambia Mungu mm ni mdudu tu siwezi kamwe kuwa kama wewe.na angetakiwa kujishusha na kujinyenyekeza kwa Mungu muda wote mbele ya watu na sirini.otherwise Mungu ni mwenye wivu lazima litakupata jambo utukufu wa Mungu hauguswiMwenezi Makonda akiwa kwenye ziara yake Tunduma aitwa Mungu na mwananchi aliyekuwa anatoa lalamiko lake, akishukuru kwa kusikilizwa tatizo lililokuwa lamtatizo.
Ndio ameanza kuandaliwa taratibu mtu wa kuogofwa na kutukuzwa kama Mwendazake?
Kwenu Wakuu.