Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Kasema mwenyewe atakuwa anaishi Kigamboni. Huko Masaki labda atapangisha.
Kwani ile ya masaki ni makazi yake binafsi? Apartment za Mwanza,na hostels zinasemekana niza baba yake wa kufikia a.k.a Yesu a.k.a jemedali a.k.a mzalendo namba moja.
 
Dar mmepata uhuru kamili, yule mchonganishi wenu ametupwa mtaani.

"Ole wenu mitaa na vilivyomo maana yule aliyekuwa akituchongea huku ametupwa kwenu akiwa na hasira nyingi sana"
 
Yaani wewe ndio umepotea kabisa, kwa taarifa yako Kunenge kapendekezwa na Makonda kuwa RC, hutaki acha
 
Watesi wake hapa wanapita tu huku wanasonya.
 
Mh Makonda unaondoka katika majukumu yako ya mkuu wa mkoa wa Dsm lakini tukwambie tu umeacha alama katika mkoa wetu wa dsm tunakuombea kila kheri.
 
Anasuburi huruma ya anaemtuma kufanya Yale yasiyompendeza Mungu. Huyo Yesu sio Yule alietufia msalabani
 
Tunashukuru kukabidhi ofisi wambea wamefurahi sanaa
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
Aiseee
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…