Makonda aliweka nidhamu jiji la Dar na kusafisha uchafu wa maadili uliokuwa umekithiri. Sasa hivi Dar ni kama Jahanamu

Makonda aliweka nidhamu jiji la Dar na kusafisha uchafu wa maadili uliokuwa umekithiri. Sasa hivi Dar ni kama Jahanamu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Paul Makonda alisimamia misingi ya maadili ndio maana alidhibiti vibaka , wavuta madawa, wezi , wavuta unga na mashoga.

Sasa hivi Dar wavuta unga na mashoga wamekithiri kama jahanamu. Nenda Buguruni, Tandika na Magomeni ushoga ni kama kawa. Watoto wa kiume wanajipaka lipstick.

Wavuta bangi na madawa ndio usiseme.

Makonda alidhibiti Dar iwe na maadili.
 
hivi vibaka wanadhibitiwa vipi na mkuu wa mkoa? anawapa pesa ili wasiibe?
 
We unakaa dar ipi
Inawezekana unaongea tu
Huu mji Kuna sehemu hazifai au ukiona barabarani pasafi
Unaona na huku ndani ndani pasafi
 
Paul Makonda alisimamia misingi ya maadili ndio maana alidhibiti vibaka , wavuta madawa, wezi , wavuta unga na mshoga.

Sasa hivi Dar wavuta unga na mashoga wamekithiri kama jahanamu. Nenda Buguruni, Tandika na Magomeni ushoga ni kama kawa. Watoto wa kiume wanajipaka lipstick.

Wavuta bangi na madawa ndio usiseme.

Makonda alidhibiti Dar iwe na maadili.
Usidanganye watu. Makonda alikuwa pale kimkakati yaani kuwaua wapinzani wote. Ndo maana alianza na lisu kwanza kwa kummiminia lisasi Kama zote baadae akahamia clouds na lengo kumuua rugu akafanikiwa. Akahamia kwa manji akakimbia nchi. Akahamia kwa kikwete ikashindikana. Akataka kumuua mpaka mnyika. Mungu si athumani na yeye atanyea ndoo soon
 
Ndio maana hao aliowashugulikia wamemtuma kibaraka wao Kubenea akalianzishe ili wamfanye kama Sabaya.

Vibaraka nchi hii niwengi sana. Ndio maana magufuli Aliwangamua hawa jamaa.
 
Ndugu yetu Bashite huuu mziki wa Taaarabu unaopigwa na kuchezwa kwa Awamu hii hawezi endana nao. Subirini akiingia DJ wa HIP POP na Reggae ndio arudishwe vinginevyo akirudishwa kwa sasa atapishana steps na hawa Mwendo konokono. The Guy is verry Charismatic
 
Paul Makonda alisimamia misingi ya maadili ndio maana alidhibiti vibaka , wavuta madawa, wezi , wavuta unga na mshoga.

Sasa hivi Dar wavuta unga na mashoga wamekithiri kama jahanamu. Nenda Buguruni, Tandika na Magomeni ushoga ni kama kawa. Watoto wa kiume wanajipaka lipstick.

Wavuta bangi na madawa ndio usiseme.

Makonda alidhibiti Dar iwe na maadili.
Misingi ya maadili ya uzurumati aliweza
 
We unakaa dar ipi
Inawezekana unaongea tu
Huu mji Kuna sehemu hazifai au ukiona barabarani pasafi
Unaona na huku ndani ndani pasafi
Wanazungumza uchafu wa maadili, sijui mnasoma vipi? Hata heading umeshindwa kuielewa kweli???
 
Paul Makonda alisimamia misingi ya maadili ndio maana alidhibiti vibaka , wavuta madawa, wezi , wavuta unga na mshoga.

Sasa hivi Dar wavuta unga na mashoga wamekithiri kama jahanamu. Nenda Buguruni, Tandika na Magomeni ushoga ni kama kawa. Watoto wa kiume wanajipaka lipstick.

Wavuta bangi na madawa ndio usiseme.

Makonda alidhibiti Dar iwe na maadili.
 
Nikikumbuka hekaheka za usafi..😂yule mjjnga alituweza...jiji limepoa Sasa khaaa
 
Mama ampe tu jiji lake limepoa Sana,aje atuchangamshe na matamko yake ya kijasiri.
Alisema wabunge wote waende Das salaam, kwa ruhusa maalum, mda wa vikao akiwaona atawakamata na kuwaweka ndani
 
Paul Makonda alisimamia misingi ya maadili ndio maana alidhibiti vibaka , wavuta madawa, wezi , wavuta unga na mshoga.

Sasa hivi Dar wavuta unga na mashoga wamekithiri kama jahanamu. Nenda Buguruni, Tandika na Magomeni ushoga ni kama kawa. Watoto wa kiume wanajipaka lipstick.

Wavuta bangi na madawa ndio usiseme.

Makonda alidhibiti Dar iwe na maadili.
Nilijua Sukuma gang mmeisha kumbe Bado mpo
 
mdomo na kulewa madaraka akijua ana kinga ya aliyemteua ndo vilimponza hata ccm wenzake wakamchukia ko saivi hana watuu na mtaji wa siasa ni watu [emoji16]. ila kiukweli aliweza kuiweka dar sawa , huyu mzee Kubenea angepewa mkoa kama Tabora au Lindi huko hili jiji linahitaji mtu wa amsha amsha bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom