Makonda alizaliwa kuwa Kiongozi, ni aina ya watu adimu sana kwenye Uongozi wa Juu

Makonda alizaliwa kuwa Kiongozi, ni aina ya watu adimu sana kwenye Uongozi wa Juu

mtampamba weee ila historia huwa iko pale pale, watu majinga na mazuzu kama makonda siku zote huwa wanalia kwa sauti kubwa kama debe tupu na kweli haliachi kuvuma, ila mara zote anguko lao ni kubwa mno, makonda hataweza kuwa na mwisho mzuri hata siku moja, tupo hapa
Mnazidi kujamba huku mnakimbia mwishowe mtapotea kabisa...
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.
Ni mjinga na kichaa ndio anaweza kuwaza Kama wewe

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.
MPELEKE ASHIKE NAFASI YA UONGOZI WA FAMILIA YENU , SIYO KWA WENGINE, USIPOJICHUNGA UTASEMA ANAFAAA KUWA BABA YAKO
 
mtampamba weee ila historia huwa iko pale pale, watu majinga na mazuzu kama makonda siku zote huwa wanalia kwa sauti kubwa kama debe tupu na kweli haliachi kuvuma, ila mara zote anguko lao ni kubwa mno, makonda hataweza kuwa na mwisho mzuri hata siku moja, tupo hapa
Mlimsemea vby sana hvo muacheni afanye maisha yake wala msiumize roho zenu kwa yasiyo wahusu.
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.

Tuseme ukweli tu. Makonda kachaguliwa kuwa Chawa tu na kuleta drama hakuna kitu. Ni kama wale wa wasanii Baba levo na Mwijaku tofauti ni huyu ni wa siasa
 
Siasa zinahitaji chizi.......na Chama cha Siasa muda wote lazima kiwe vibrant, wengi wanachungulia poa anachokifanya lakini Siasa inahitaji hivyo vituko vituko hata kama mengine ni ujinga tu
Screenshot_20231113-003635.png
 
Ndiyo mmekaa na mumeo mkakubaliana kuwa Makonda ni kiongozi na akakutuma uje uandike huu ujinga wako hapa?
 
Nimetamani kujua elimu yako ili nikufahamu vyema lakini nimeona haina maana.
In short; huyu mtu wako hafai hata kuongoza kijiji!
hekima na busara ndio kipimo cha uongozi, kama huna hii kitu wewe hufai!
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZA KWA KASI
UCHAWA HAULIPI MUSIBA ALISEMA MAGUFULI NI ZAIDI YA YESU LEO YUPO WAPI?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.
Huku kujitekenya na kucheka wenyewe sijui tutaacha lini! It's a pity!
 
Hata Mkuu wa INTERAHAMWE alikuwa akisifiwa na Wafuasi wa MRND huko Rwanda.

Mimi sizishangai Siasa za Kihutu.
 
Mimi sina mengi, title ishamaliza uzi.


Ila kwa kuongezea huyu mwamba ni hatari. Mtu hadi kaweza kupata attention ya USA na wakamzuia kuingia nchini kwao halafu wewe unakuja kuona ni mtu wa kispoti spoti?

Hapa tunasema super sub ya namba 7 imeingia uwanjani. Ngoja niongeze popcorn huku naangalia hizi dkk 30 za mchezo zitaishaje.
Hata majambazi huwa yana viongozi. Bila shaka huyu alizaliwa kuwa kiongozi wao.
 
Back
Top Bottom