Makonda alizaliwa kuwa Kiongozi, ni aina ya watu adimu sana kwenye Uongozi wa Juu

Mnazidi kujamba huku mnakimbia mwishowe mtapotea kabisa...
 
Ni mjinga na kichaa ndio anaweza kuwaza Kama wewe

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
MPELEKE ASHIKE NAFASI YA UONGOZI WA FAMILIA YENU , SIYO KWA WENGINE, USIPOJICHUNGA UTASEMA ANAFAAA KUWA BABA YAKO
 
Mlimsemea vby sana hvo muacheni afanye maisha yake wala msiumize roho zenu kwa yasiyo wahusu.
 

Tuseme ukweli tu. Makonda kachaguliwa kuwa Chawa tu na kuleta drama hakuna kitu. Ni kama wale wa wasanii Baba levo na Mwijaku tofauti ni huyu ni wa siasa
 
Siasa zinahitaji chizi.......na Chama cha Siasa muda wote lazima kiwe vibrant, wengi wanachungulia poa anachokifanya lakini Siasa inahitaji hivyo vituko vituko hata kama mengine ni ujinga tu
 
Ndiyo mmekaa na mumeo mkakubaliana kuwa Makonda ni kiongozi na akakutuma uje uandike huu ujinga wako hapa?
 
Nimetamani kujua elimu yako ili nikufahamu vyema lakini nimeona haina maana.
In short; huyu mtu wako hafai hata kuongoza kijiji!
hekima na busara ndio kipimo cha uongozi, kama huna hii kitu wewe hufai!
 
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZA KWA KASI
UCHAWA HAULIPI MUSIBA ALISEMA MAGUFULI NI ZAIDI YA YESU LEO YUPO WAPI?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Huku kujitekenya na kucheka wenyewe sijui tutaacha lini! It's a pity!
 
Hata Mkuu wa INTERAHAMWE alikuwa akisifiwa na Wafuasi wa MRND huko Rwanda.

Mimi sizishangai Siasa za Kihutu.
 
Hata majambazi huwa yana viongozi. Bila shaka huyu alizaliwa kuwa kiongozi wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…