Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Wamefanya nini? Kwenye umeme, maji, rushwa, mfumuko wa bei?Makonda ni mtendaji kwenye hii nchi?
Samia si anasaidiwa na
1. Mpango [makamu wa Raisi]
2. Waziri mkuu
3. Naibu Waziri Mkuu.
4 . Mawaziri.
5. Makatibu Wakuu.
6. RC<DAS na DC?
Unataka kuuambia Umma wa Tanzania kwamba hawa wote hamna kitu wanafanya hivyo sasa Rasi kaamua kumteua mtu /mwenenzi wa chama[CCM] akawe mtendaji wa serikali?
Mandate ya kuitisha mawaziri na RPC hadharani na kutaka watoe majibu inatoka sheria gani?
#Lawless Country.
Tusubiri siku atamuita jaji mkuu jukwani ajibu kwanini hukumu imema ushindi huyu na kumuacha yule.
Makonda ni mtendaji kwenye hii nchi?
Samia si anasaidiwa na
1. Mpango [makamu wa Raisi]
2. Waziri mkuu
3. Naibu Waziri Mkuu.
4 . Mawaziri.
5. Makatibu Wakuu.
6. RC<DAS na DC?
Unataka kuuambia Umma wa Tanzania kwamba hawa wote hamna kitu wanafanya hivyo sasa Rasi kaamua kumteua mtu /mwenenzi wa chama[CCM] akawe mtendaji wa serikali?
Mandate ya kuitisha mawaziri na RPC hadharani na kutaka watoe majibu inatoka sheria gani?
#Lawless Country.
Tusubiri siku atamuita jaji mkuu jukwani ajibu kwanini hukumu imema ushindi huyu na kumuacha yule.
Unaonyesha uchi wako wa akili hapa.
Unamlilia shida mtu ambaye hujamlipa kodi?
Unatoka familia maskini alafu una-roho ya kuombaomba uliyoridhi kwenye serikali kukopa chaakula wakati tuna amshamba na mvua maji yanaishia baharini.
CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?hiki anachokifanya Makonda kilitakiwa kufanywa na wanasiasa wa upinzani kama chadema na wengine hakika wangepata wabunge wengi na hata nchi wangeitawala ila kinachotokea ni ccm kuendelea kutawala wenyewe maan wanang'ata na kupuliza na wananchi wala hawashtuki...!
Una UTI sugu wewe.Ruzuku wanayopokea siyo kodi ya wananchi?
Jinga kabisa wewe.
Kwahiyo kwa hao kutofanya ndio MAKONDA amekuwa suluhisho, vaa taulo hilo limeshuka ukweni.Wamefanya nini? Kwenye umeme, maji, rushwa, mfumuko wa bei?
Wengi wamekufa na biashara zao kufa kwa ajili ya umeme, maji, usalamq, rushwa.
Unajua umeme ukkizimwa ulaya utaua wangapi? Pia unaua wengi na kusabisha migogoro kwenye familia.
Unafikiri wangapi wamelufa kwa stress, biashara zao, mapato yao kwa ajili ya ujinga wenu wa kizima umeme?
sio lazima kuwaita hao maana wao chadema hawawezi kufanya hivyo ila inapaswa wawe na wanasheria wanaotembea nao kesi kama za uonevu palepale mna direct wanasheria wenu wazifuatilie na wawatete wananchi wa chini unadhani ni nani angewaona chadema wapigaji ila sababu hoja yao kuu kwa sasa ni katiba tu huku uelewa wa wananchi wengi ni mdogo kuhusu katiba nchi hii basi chadema hawasikiki wanabaki kuchoreka tu kama kituko kwa sasa.CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?
CHADEMA wamuite Afisa ardhi jukwaani aje na faili na
Una UTI sugu kwenye ubongo wako.CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?
CHADEMA wamuite Afisa ardhi jukwaani aje na faili na
Una UTI sugu wewe.
Ruzuku wanapokea kutokana na COVID-19 umesikia ni ya kukutatulia shida?
Huna elimu ya Uraia hata lanne sijui kama ulifika.
Ruzuku si inatumika kulipa mishahara waajiriwa wa chama ambao si lazma wame CHADEMA?
Ruzuku ndio ya kutatulia kero za wananchi wakati kuna bajeti kuu ya serikali?
Ruzuku ikishatatulia kwa kugawa huko mtaani, then CAG akidai risiti apewe chupi yako?
#Najifunza hii nchi ina, siyo wajinga tu, bali wapuuzi ukiwaona wana smart phone ila ni wapuuzi na wapumbavu kuliko hata ngiri maji.
Kwa sasa anaogopwa kuliko Majaliwa.Alipita tabora maji yalitoka kama ya Kilimanjaro, magari ya doria kila mahali ππ, Paulo bana kamaliza wakafanya birthday ya kizimkazi huyoo akasepa, nipo na semi hapa nenda rusumo labda nitamkuta ngara
Unazidi kujishusha taulo si kwa wakwe zako, sasa mbele ya wanao wa kike ambao wanakaribia kuvunja ungo.Una UTI sugu kwenye ubongo wako.
Kwa hiyo walipokataa kupokea ruzuku ya covid 19 wafanayakazi wa Chama walifukuzwa na sasa wamerudishwa baada ya gaidi kukubali kulamba matapishi yake?
hiki anachokifanya Makonda kilitakiwa kufanywa na wanasiasa wa upinzani kama chadema na wengine hakika wangepata wabunge wengi na hata nchi wangeitawala ila kinachotokea ni ccm kuendelea kutawala wenyewe maan wanang'ata na kupuliza na wananchi wala hawashtuki...!
maigizo yanakushughulisha mbaya sana, hupumui dah...Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.
Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.
Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.
Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.
Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao β ambao wote hao ni wana chama tawala!
Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.
Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
Kubwa Jinga kabisaUnazidi kujishusha taulo si kwa wakwe zako, sasa mbele ya wanao wa kike ambao wanakaribia kuvunja ungo.
aliyekwambia COVID-19 wamerudishwa ni nani?
Unajielewa kweli wewe? Ulielewa hukumu ya Mahakama kuu , kanda ya Dar es salaam?
Kwani kaijteua,ukiona waliomteua wapo kimya basi ujue ndiyo haohao waliomtuma!Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.
Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.
Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.
Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.
Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao β ambao wote hao ni wana chama tawala!
Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.
Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
Joined ,may ,2023 baada ya kufeli Form 2.maigizo yanakushughulisha mbaya sana, hupumui dah...
na badrooo...
huu ni mwanzo tu, mwisho mbona mtafurahi sana.... π
Sisi ndo tunapenda hayo unayoyaita maigizo!!Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.
Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.
Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.
Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.
Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao β ambao wote hao ni wana chama tawala!
Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.
Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
sasa joined Feb.2016 mtu mzima bado unaishi kwa wazazi,Joined ,may ,2023 baada ya kufeli Form 2.
Nakuacha.