Makonda amesema kweli; wengi wa viongozi wa Serikali hii ya CCM wanafanya usanii kumpa sifa Rais Samia, lakini kivitendo wanamhujumu

Mkuu nakubaliana na aya ya pili kutoka mwisho katika hoja yako. Binafsi sijapinga hoja kwamba vitu havijapanda katika awamu hii.

Mkuu Ninacho kataa ni mchango unaosema kuwa vitu vimeanza kupanda awamu hii.

Huu ni mjadala muhimu, tuelimishame, kukumbushana, kusahihishana bila ushawishi wa mahaba kwenye awamu yoyote!

Na kuweka kumbukumbu sawa sijatoka ughaibuni. Nipo bongo kabla Mwendazake hajaanza kupiga push up majukwaani!
 
Hata Mimi nakuungs mkono kuwa awamu zote bidhaa mbalmbali zinapanda.

Tunachpbishiana hapa ni je upandishaji wa bidhaa katika awamu zilizipita
Ulikuwa na sababu za msingi za upandishaji huo?

Je katika awamu hii , kuna sababu za msingi za kupandisha, jinsi walivyopandisha??

Hiyo ndiyo hoja ya msingi, tunayobishiana nayo.
FULL STOP
 
Mbona YY KIZIMKAZI nae anahujumu Tanganyika.
1.Umeme...NO
2.Sukari.....NO
 
Ujinga mtupu kipara na maharage chande wamepiga matrilioni ya pesa na kuiingiza tanesco mikataba ya kilaghai kisha kusepa,walianza na visingizio kibao,bajeti kubwa ya kukarabati,wewe na wenye akili kama yako ni utoko wa zinaa
 
Watu walifurahishwa na uongozi wa jpm ,sasa Makonda ndio mtu ambaye ana ujasiri kama jpm kwa kupatiwa ulizi na support ya kutosha kutoka katika mhimili mkuu. Kwa sehemu ameweza kuamsha matumaini ingawa bado sana sababu yupo chini ya mtu kimamlaka kama atapewa urais ,He can deliver with no excuse term.
 
hata awamu ya 5 makonda alikuwa mtetezi wa wanyonge sana
 
Miongozo ya kila nafasi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…