Kwa CCM simuoni bora
Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.
Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.
Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Mungu ni mkubwa siku zoteMalumbano na mivurugano yenu; ndiyo furaha yetu sisi wapenda mabadiliko.
Mbali ninakojua mimi ni kuzimu ambako kila nafsi itaonjaMakondq atafika mbali kuliko Bashe
Sisi wapenda mageuzi ndiyo Kwanza tunapiga vigeregere[emoji23][emoji23][emoji23]Hivyo ndivyo siasa za dunia ya sisiem zilivyo, minaona hata wakiuana ni sawa tu
Kwahiyo Makonda anataka kupiga cha juu kupitia sukari.Go Go BasheView attachment 2888158View attachment 2888159
Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.
Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.
Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.
Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Kwa CCM simuoni bora
Jibu kwa hoja .... acha kanjanjaAcha kumpa kiburi kisicho na msingi.yeye hayupo juu ya chama na ni lazima Bashe akiheshimu Chama san.asilete kiburi na jeuri kwa chama na viongozi wa chama
Pamoja na yote ile kauli ya Bashe ilikuwa imejaa kiburi ndani yake….Mim naona unamlisha maneno. Nimeskia kikao cha wazir bashe
Alichokuwa anakisema pale ni kwamba hakuna wa kumuliza kwa nin anaelekeza bei elekez ispokuwa wat 4.
Mbona amepigiwa sim na makonda juu ya bei ya sukar na akamjibu kuwa wanaifanyia kaz kwa kuleta iliyopungua na bei elekez. Mnashabikia vitu vya kijinga.
Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,Jibu kwa hoja .... acha kanjanja
Shida inaanza wengi hawawezi tofautisha mipaka ya chama na mipaka ya teuzi za kiserikali
Lakini baada ya hapo akakaa kikao na wadau akatoa kauli zile ambazo zilionesha dharau sana kwa chama na viongozi wake…hakupaswa kunena yale mbele za watu wakati anajua fika chama kina nguvu kuliko yeye! Hata Samia mwenyewe nje ya CCM hana nguvu!Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,
Nyie ndo mnamponza Bashe. Siasa za CCM haziko hivyo. Bashe ana angles nyingi za kushughulikiwa tena kirahisi sana. Kibaya zaidi nyie wapinzani mnavyomsifia ndo mnaharibu zaidi
Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.
Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.
Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
😄😄😄 Bashe yuko kwenye nyumba ya vioo halafu anataka ugomvi wa mawe.Hivi bashe ana asili ya kisomali?
Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.
Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.
Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.
Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Umeandika kinyumeBashe aache Kiburi na kujifanya anajua
Nyie ndo mnamponza Bashe. Siasa za CCM haziko hivyo. Bashe ana angles nyingi za kushughulikiwa tena kirahisi sana. Kibaya zaidi nyie wapinzani mnavyomsifia ndo mnaharibu zaidi
Wewe unaona huyo muiaji na jambazi la kupora mali za watu ana akili timamu? Makonda kuliko haki yake ni gerezani, siyo kuwahoji mawaziri.Bashe aache Kiburi na kujifanya anajua
Hivi gerezani ni mbali? Subiria siku atakapopigwa pingu na kusomewa kesi za mauaji.Makonda atafika mbali kuliko Bashe