Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Magu vileDk 5 kumbe inawezekana kupata haki yako?
Kama Magu vile
Passport ilitengenezwa kwa siku moja tu, basi tu huwa wanatuzungusha
Lakini dkk 5 haiwezekani kwani kikombe cha maji hicho
Natamani baada ya hapo ionekane wazi wazi ilikwama wapi.Kama Magu vile
Passport ilitengenezwa kwa siku moja tu, basi tu huwa wanatuzungusha
Lakini dkk 5 haiwezekani kwani kikombe cha maji hicho
" nalipokea mkuu"...Nchi hii kwa kweli hatutafika kama litmus test ya mkoa mmoja wa Arusha mambo ndio haya. Hivi hawa watendaji wa serikali huwa pia wana perfomance review au human resources wao pia wanamsubiria Makonda? Nchi nzima uozo kila sehemu. halafu hawa watumishi wana manano matamu sana- utasikia, " nalipokea mkuu"...
Akili za huyu kiongozi ni mbovu, vyeti vyake vifuatiliwe hasa vya form 4!
Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amemtaka kiongozi wa ardhi kumpatia haki babu wa miaka 81 ndani ya dakika tano kwani hati hiyo ameifuatilia kwa muda mrefu sana.
Idara ya ardhi kuna shida kubwa haswa
Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amemtaka kiongozi wa ardhi kumpatia haki babu wa miaka 81 ndani ya dakika tano kwani hati hiyo ameifuatilia kwa muda mrefu sana.
Hayo maeneo kuna DC/DAS/DSO/DED/Mbunge/madiwani hawa watu wanalipwa mishahara ya nini?Maskini maeneo mengi wanateswa sana na kunyanyaswa sbabu hawana pesa.