Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mkuu bila shakaKama Magu vile
Passport ilitengenezwa kwa siku moja tu, basi tu huwa wanatuzungusha
Lakini dkk 5 haiwezekani kwani kikombe cha maji hicho
Mfumo mzima umeoza haswaWangese sana hao watu wa ardhi.
Rushwa ni tatizo ardhiWatu wa ardhi muda mwingine hua wanakera sana
Gambo ni sehemu ya majangiliAridhi Kuna baadhi ya watendaji ni pasua kichwa mno!
Gambo yupo?
KabisaRushwa ni tatizo ardhi
alitakiwa sekunde 5Hata hivyo, amepewa dakika 5 Nyingi sana.. 🤒🤒
Ni mambo ya ajabu snKabisa
Yeah zinatosha kabisa 🙂🙂alitakiwa sekunde 5
Ukiyakuta yamevaa visuruali vya kubana na vishati vya kubana havina habari kabisa na Mzee wala nini. !Yupo sahihi wanazungusha zungusha watu bila aibu,haya matoto maofisini yana laana hadi mzee wa miaka 81!?, kweli!?
Kwa sisi tuliobahatika kufanya utafiti kwa miaka mingi , kinachoibuliwa mkoani Arusha ni representative sample ya ufisad,i ,wizi na uonevu wanaofanyiwa wananchi mikoa yote ya Tanganyika. Sample huwa haiongopi hata siku moja.Nchi hii kwa kweli hatutafika kama litmus test ya mkoa mmoja wa Arusha mambo ndio haya. Hivi hawa watendaji wa serikali huwa pia wana perfomance review au human resources wao pia wanamsubiria Makonda? Nchi nzima uozo kila sehemu. halafu hawa watumishi wana manano matamu sana- utasikia, " nalipokea mkuu"...
Well said mkuu... " nalipokea mkuu"...Kwa sisi tuliobahatika kufanya utafiti kwa miaka mingi , kinachoibuliwa mkoani Arusha ni representative sample ya ufisad,i ,wizi na uonevu wanaofanyiwa wananchi mikoa yote ya Tanganyika. Sample huwa haiongopi hata siku moja.
Hata kana Makonda hataweza kutatua matatizo hayo yote kutokana na kupigwa vita na majizi mbalimbali yaliyoko katika uongozi wa CCM na serikali wa ngazi mbalimbali lakini walau amewafungua macho watanganyika kuwa madhambi hayo yametamalaki mikoa yote.
Well done Makonda.