Makonda ampa Kiongozi wa Ardhi dakika 5 kutoa hati ya Mwananchi

Makonda ampa Kiongozi wa Ardhi dakika 5 kutoa hati ya Mwananchi

Huyu kijana ni Magufuli wa pili sema ndio hivyo mafisadi na wezi hawawezi kumpenda
 
Nchi hii kwa kweli hatutafika kama litmus test ya mkoa mmoja wa Arusha mambo ndio haya. Hivi hawa watendaji wa serikali huwa pia wana perfomance review au human resources wao pia wanamsubiria Makonda? Nchi nzima uozo kila sehemu. halafu hawa watumishi wana manano matamu sana- utasikia, " nalipokea mkuu"...
Kwa sisi tuliobahatika kufanya utafiti kwa miaka mingi , kinachoibuliwa mkoani Arusha ni representative sample ya ufisad,i ,wizi na uonevu wanaofanyiwa wananchi mikoa yote ya Tanganyika. Sample huwa haiongopi hata siku moja.

Hata kana Makonda hataweza kutatua matatizo hayo yote kutokana na kupigwa vita na majizi mbalimbali yaliyoko katika uongozi wa CCM na serikali wa ngazi mbalimbali lakini walau amewafungua macho watanganyika kuwa madhambi hayo yametamalaki mikoa yote.

Well done Makonda.
 
Kwa sisi tuliobahatika kufanya utafiti kwa miaka mingi , kinachoibuliwa mkoani Arusha ni representative sample ya ufisad,i ,wizi na uonevu wanaofanyiwa wananchi mikoa yote ya Tanganyika. Sample huwa haiongopi hata siku moja.

Hata kana Makonda hataweza kutatua matatizo hayo yote kutokana na kupigwa vita na majizi mbalimbali yaliyoko katika uongozi wa CCM na serikali wa ngazi mbalimbali lakini walau amewafungua macho watanganyika kuwa madhambi hayo yametamalaki mikoa yote.

Well done Makonda.
Well said mkuu... " nalipokea mkuu"...
 
Back
Top Bottom