Makonda ampandisha cheo Afisa Mtendaji kuwa msaidizi wa Mkuu wa Mkoa kwa kufuatilia vizuri matatizo ya wananchi

Hivi hivi kiutani Makonda atakuja kuwa King Maker au Ndio awe King mwenyewe maana **** vacuum kubwa sana yeye anapita humo kuonekana anafaa na anatatua matatizo hata kama anaigiza kumbe wajinga wengi wanaona ndio mtu
Makonda anafanya kazi ya maelekezo aliyopewa na mteule wake,wala usi hofu! Office Kuu imempa baraka zote yeye pamoja na Silaa!!
 
Any publicity is good publicity
 
Mkuu ukizingatia ya Makonda utumwa bure! 🀣 🀣 🀣
 
Kwa kero alizotatua makonda,ni Bora 2025 tumchague awe rais Kwa ustawi wa nchi yetu na tuachane na huyu wakusafiri Kila siku angani na matokeo sifuri
Mkuu usisahau fomu ni moja tu ya kugombea urais CCM! Hivi ubunge kule kigamboni alipita???
 
Mkuu unafikiri ni wajinga, inawezekana wewe ndiye ulipofiushwa na mahaba ya makonda.

Tutajie kero aliyotatua Dar es salaam akiwa Mkuu wa mkoa na nchi nzima akiwa Mwenezi.

Kupayuka na kusingizia watumishi kuwa ni mafisadi. Tutajie kesi alifunga so far dhidi ya mafisadi!!!
 
Mkuu ngosha wa mwanza, watanzania tumelogwa. Na aliyetuloga kesha tangulia mbele za haki.
 
Ni kweli kabisa, ukombozi wa blacks kwenye maisha ni ngumu sana.. unafiki umekithiri. Makonda anajitahidi kupunguza maumivu ya wanyonge, lakini bado wanampiga vita..
Mkuu hakuna mtanzania mnyonge, hayo ni maneno ya kusadikika!!
 
Wajinga wajinga wanaompinga Makonda, siku wazinduke kwenye ujinga wao wamuunge mkono Makonda, TANZANIA tutaΓ nza kupiga hatua kubwa sana kimaendeleo

Nchi hii inacheleweshwa na wazembe, wala rushwa pamoja na wapiga majungu maofisini
Mkuu tulipiga hatua akiwa Mwenezi??? Unachekesha kweli, Makonda apige Kiki za kipanzi Arusha halafu watu Katavi wapate maendeleo, kweli??? Hiyo Mkuu ni ndoto ya alinacha!!
 
Hivi hivi kiutani Makonda atakuja kuwa King Maker au Ndio awe King mwenyewe maana **** vacuum kubwa sana yeye anapita humo kuonekana anafaa na anatatua matatizo hata kama anaigiza kumbe wajinga wengi wanaona ndio mtu
Mkuu taja matatizo aliyotatua so far huko Arusha??? Au akiwa Mwenezi???
 
Mkuu utasubiri sana, na utawaacha walivyo!!
 
βœοΈπŸ“πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…