Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Una ripoti ofisi ya mkuu wa mkoa, DED anakuja kituo cha kazi haupo, wiki ijayo anarudi haupo anaenda kuongea na mwenyekiti wa council kesho yake Baraza la madiwani wanakufukuza kazi kwa utoro kazini. 😂😂