Gambo ni mnafiki hafai,haiwezekani gambo kila kiongozi anaeteuliwa Arusha anagombana naeKiukweli nilianza kuvutiwa na Paul Makonda ila hivi karibu hasa vita anavyompiga mbunge wa Arusha mjini kwa kweli naona ni ushambaa na pia hajakomaa.
Makonda ajitafakari matendo yake kwani kiongozi aliyemteua ni mtu msikivu na asiyependa ugomvi kwa watendaji wake.
Aloenda shule na anajua utawala nani hapo green party?Sijawahi kuamini kwamba MAKONDA Ana AKILI TIMAMU. Yule kweli hajarnda shule hajui lolote kuhusu administration/utawala waa leadership.
Ana amini kwenye maguvu
Gambo muda wake umeisha,apishe wengine sasaUbunge unatakiwa kwa Mbivu na Mbichi, anautaka Ubunge wa Arusha kwa Mbivu na Mbichi hata kwa kutumia figisu ila Gambo sio mnyonge lazima ajibu mapigo ila wakikutana wanagonga 🍻
Kwakweli hakuna ila nimekuwa tu specificAloenda shule na anajua utawala nani hapo green party?
Futa usemi sasa maana wote wale wale tu huko🤣Kwakweli hakuna ila nimekuwa tu specific
Wapare ni wagomvi sana,na kila kitu wanajua!Gambo ni mnafiki hafai,haiwezekani gambo kila kiongozi anaeteuliwa Arusha anagombana nae
Amegombana na Mkuu wa wilaya aliepita,sasa kahamia kugombana na Mkuu wa mkoa
Amalizie ubunge wake aondoke
Ubunge utawatoa roho hao vijanaKiukweli nilianza kuvutiwa na Paul Makonda ila hivi karibu hasa vita anavyompiga mbunge wa Arusha mjini kwa kweli naona ni ushambaa na pia hajakomaa.
Makonda ajitafakari matendo yake kwani kiongozi aliyemteua ni mtu msikivu na asiyependa ugomvi kwa watendaji wake.
Gambo km Gambo akikusikia atakupasua muda ulisikia wapi unaisha?Gambo muda wake umeisha,apishe wengine sasa
Mlingotini Sasa ni Bandari ya Saudia 😂Mkuu huu Mwaka bagamoyo inakuwaga na utajiri WA gafla Tena kwa vibabu havina HATA nyumba za tofali
Kiufupi anatakiwa afukuzweKiukweli nilianza kuvutiwa na Paul Makonda ila hivi karibu hasa vita anavyompiga mbunge wa Arusha mjini kwa kweli naona ni ushambaa na pia hajakomaa.
Makonda ajitafakari matendo yake kwani kiongozi aliyemteua ni mtu msikivu na asiyependa ugomvi kwa watendaji wake.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Makonda ni PM wako kuanzia November 2025.Kiufupi anatakiwa afukuzwe