KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Chuki ni uchafu wa moyo ni hasara kuwa nayo na ni hatari kwa afya ya mwenye nayo!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda Ni mpango wa mungu, Ni Kama yusufu..atakuja kuwa kiongozi mkubwa Sana hapa tz..time will tell
Tunakushukuru kwa ushahidi wenye vielelezo
View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Wajumbe wa kigamboni washafanya yao...
Chuki ni uchafu wa moyo ni hasara kuwa nayo na ni hatari kwa afya ya mwenye nayo!!!!