Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Wewe Jamaa ni mgeni wa mambo kwani kuwe alama ktk kitabu cha msibani mpaka uwe kiongozi aibu yako
 
Pale bashite anapomuona "mtu wa hovyo hovyo" anatia saini kwenye kitabu cha wageni kwenye msiba wa Ben,
Nikikutana nae leo hapa mjini bashite lazima ale vibao vyangu, alitudhalilisha sana wanywaji kutuita watu wa hovyo hovyo wakati yeye ndo mtu wa hovyo kuvamia studio za watu na wahuni wenye silaha za kivita,
 
Hapa itabidi wajumbe watupe msaada wao tena maana ni watu muhimu sana..
Umetoa Hoja Muhimu Na
Hoja Imeungwa Mkono Mwenyekiti
Tuwaite Wajumbe Wa Kigamboni
Kuna Mgongano Wa Maslahi Huku 😀😁
 
Makonda Ni mpango wa mungu, Ni Kama yusufu..atakuja kuwa kiongozi mkubwa Sana hapa tz..time will tell
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Hata wewe hujakatazwa utapa kisukari kwa kuchukia Makonda
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Mkuu wa mkoa mstaafu
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.

Nafikiri alisaini kama kiongozi mstaafu
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Uliza na Kikwete na wengine wengi wasiokuwa kwenye madaraka wanasaini kama akina nani?
 
Fame drunk.

Ameondoka madarakani lakini bado ni celeb.
 
Back
Top Bottom