Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Duh, hatari sana. Jamaa hawataki kumuona Makonda hata na kitabu cha maombolezo😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Jamaa ni mgeni wa mambo kwani kuwe alama ktk kitabu cha msibani mpaka uwe kiongozi aibu yakoView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Amekata mzizi wa fitina!
Vipi kama huyo kasaini kama mwenyekiti wa walevi?! Na huenda labda marehemu alikuwa mwanachama!Erythrocyte narudia, acha wivu! Mbona huyu hujamfungulia uzi?
kwani kule kigamboni anapendwa ?Weewe jamaa makonda humpendi
Kumtetea kibaka inahitaji moyo,roho na nyama nyeupe!😂😂😂😂Kiongozi wa UVCCM enzi za BWM akiwa presidaaa. Swali lingine tafadhali
Pale bashite anapomuona "mtu wa hovyo hovyo" anatia saini kwenye kitabu cha wageni kwenye msiba wa Ben,
Kama RC mstaafu!
Nchi hii... ndo maana yule mkaguzi feki aligundulika Ngara watu wameshalizwa sana!!Hata pierre likwid alienda kusaini. Pata ka umaarufu tu utapita sehemu zote muhimu bila bughudha
Itakuwa anasaini kama Bashite.View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Mi nina ya Simba inaruhusiwa ?Nimecheka chumbani mpaka majirani wamejazana sebuleni wanauliza kuna nini,
Any way nibebe kalamu ya sello niliunge
Umetoa Hoja Muhimu NaHapa itabidi wajumbe watupe msaada wao tena maana ni watu muhimu sana..
Hata wewe hujakatazwa utapa kisukari kwa kuchukia MakondaView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Mkuu wa mkoa mstaafuView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
alistaafu lini ?Nafikiri alisaini kama kiongozi mstaafu
Uliza na Kikwete na wengine wengi wasiokuwa kwenye madaraka wanasaini kama akina nani?View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
alistaafu lini ?