Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
huyu anafahamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu anafahamika
Nasikia baada ya jina lake kaandika title yake MLEZI WA WCB.View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
ingekuwa wamestaafu wangetumbuliwa ?Mwanri amestaafu kwa mujibu wa sheria.
Makonda, Ole sendeka na Mnyeti wamestaafu kwa ajili ya ubunge!
Kwa niaba ya bongo movieView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Amekata mzizi wa fitina!
angalau sasa naanza kupata pichaKwa niaba ya bongo movie
Nani katumbuliwa?!ingekuwa wamestaafu wangetumbuliwa ?
huyu anafahamika
Erythrocyte narudia, acha wivu! Mbona huyu hujamfungulia uzi?
Huyu yuko kwa kinanasi!Hata wewe ukitoka huko Bujonde kuja huku Dar utaruhusiwa tu kusaini mkuu usiogope
Kama mkuu wa Chuo UdomKwani Kikwete anasaini kama nani?
hujui au unataka kutupotezea muda tu ?Nani katumbuliwa?!
Kwan wananchi wa kawaida wamekatazwa kusaini hicho kitabu ?View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Huyu kijana hayupo Sawa keep cool utaelewa. Kama umetumwa au laaView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Muache amalizie fungate....View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Makonda, sio raia wa kawaida, ni mkuu wa mkoa wa zamani, yupo kwenye hadhi ya wakuu wa mikoa wastaafu, makada wa chama kama Yusuph Makamba, Ole sendeka, Agrey Mwanri, Hata akija Lazaro Nyarandu, itifaki inamruhusu kusaini, hawa watu ni somebodys kwenye jamii, kutokana na nyadhifa walizowahi kushika,View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
huyu anafahamika ni Mlevi wa TaifaErythrocyte narudia, acha wivu! Mbona huyu hujamfungulia uzi?
Unaanza kukosa hoja sasa kwa chuki yako...huyu anafahamika ni Mlevi wa Taifa
wewe humjui Pierre ?Unaanza kukosa hoja sasa kwa chuki yako...