Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Nasikia baada ya jina lake kaandika title yake MLEZI WA WCB.
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Kwan wananchi wa kawaida wamekatazwa kusaini hicho kitabu ?
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Huyu kijana hayupo Sawa keep cool utaelewa. Kama umetumwa au laa
 
View attachment 1517346

Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .

Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Makonda, sio raia wa kawaida, ni mkuu wa mkoa wa zamani, yupo kwenye hadhi ya wakuu wa mikoa wastaafu, makada wa chama kama Yusuph Makamba, Ole sendeka, Agrey Mwanri, Hata akija Lazaro Nyarandu, itifaki inamruhusu kusaini, hawa watu ni somebodys kwenye jamii, kutokana na nyadhifa walizowahi kushika,

Akija Mo, Bahkresa, Hata Diamond,watapewa nafasi,
 
Nadhani kitabu cha maombolezo kinasainiwa na watu maalum tu, yaani viongozi wakuu walioko madarakani & wastaafu, wageni maarufu, ila kwa hadhi ya Makonda kwa sasa bado anastahili kusaini, sbb Mzee Mkapa alimsaidia kama kijana wa CCM..
 
Back
Top Bottom