mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Hawaji wote Ni wastaarabuKila mstaafu akija hapo hilo daftari litawatosha kweli??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaji wote Ni wastaarabuKila mstaafu akija hapo hilo daftari litawatosha kweli??
Nadhani kitabu cha maombolezo kinasainiwa na watu maalum tu, yaani viongozi wakuu walioko madarakani & wastaafu, wageni maarufu, ila kwa hadhi ya Makonda kwa sasa bado anastahili kusaini, sbb Mzee Mkapa alimsaidia kama kijana wa CCM..
pole sana mkuuthread nyingine za kijinga sana
Mwana hajaamini kama tayari yuko nje. Anajihisi bado ofisiniHawaji wote Ni wastaarabu
Ni raia mwema wa TanzaniaView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe , au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini .
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
RC mstaafu siyo sawa na wewe Mwalimu mstaafu.Kila mstaafu akija hapo hilo daftari litawatosha kweli??
Vipi pieree likwidi ni ccm et? He looks like
Mtanzania yeyote ni ruksa ku-sign. Hata wewe chukua kalamu yako ya Obama uende uweke sahihi.Hata pierre likwid alienda kusaini. Pata ka umaarufu tu utapita sehemu zote muhimu bila bughudha
Kuna uwezekano neno "mstaafu" hawajui maana yake halisi.😂😂😂😂Alistaafu lini ?
Mbona wewe ni maarufu wa umbea ila hujaenda kusaini?
Mkuu tizama vizuri hiyo picha ya marehemu hapo juu halafu ilinganushe hapo chini kwa mkapa.ya chini mkapa ana kipara na ya juu ina afro iliyojaa hivyo ni tukio lingine tofauti na pia angalia utofauti wa hivyo vitabu..asante alafu uache unaaaView attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Huyo sio mstaafu, Ni mkuu wa mkoa aliyefurushwa..Kuna uwezekano neno "mstaafu" hawajui maana yake halisi.😂😂😂😂
Nimeunga mkono hoja huku nacheka kingedere mkuu!😁😁😁Huyo sio mstaafu, Ni mkuu wa mkoa aliyefurushwa..
View attachment 1517346
Naomba wale wanaofahamu masuala ya prokali kwenye misiba ya viongozi wanifahamishe au kama raia yeyote anaweza kuja na kalamu yake ya cello na kuvamia kitabu cha maombolezo na kusaini.
Ni vema hili likawekwa wazi ili na sisi raia wengine tuchukue kalamu zetu twende tukasaini.
Wajumbe walishamkataa huyu Bashite