Makonda anasaini kitabu cha maombolezo kama nani?

Chuki ni uchafu wa moyo ni hasara kuwa nayo na ni hatari kwa afya ya mwenye nayo!!!!
 

Hata wewe waweza kusaini maana hata steve nyerere amesaini! Kusaini kitabu cha maombolezo ni jambo la kawaida wala si jambo la mtu fulani special kila mtu anapaswa kusaini!

Huu utoto ndio unawafanya chadema muonekane chama cha wajinga wajinga maana vitu vidogo kama hivi vina washughulisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…