Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.
Wewe unafikiri kila kitu kinahitaji ushahidi wa kushikika na kuonekana?

Kuna scenario zingine za uhalifu ushahidi huwa ni mhalifu mwenyewe!

Kwa kesi ya Paul Makonda, ushahidi ni yeye mwenyewe mhalifu. Msikilize na mtazame vyema usoni, utaona kila dalili na alama za uhalifu.

Bado unataka kujua tu?
 
Eeeeeeeh bana eeeeeeeh yajayo yanafulrahisher
 
Wewe unafikiri kila kitu kinahitaji ushahidi wa kushikika na kuonekana?

Kuna scenario zingine za uhalifu ushahidi huwa ni mhalifu mwenyewe!

Kwa kesi ya Paul Makonda, ushahidi ni yeye mwenyewe mhalifu. Msikilize na mtazame vyema usoni, utaona kila dalili na alama za uhalifu.

Bado unataka kujua tu?
Utapeliii. Ondoa hapaa
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee

Kumbuka Bashite alivamia clous mediA na mtutu wa bunduki pamoja na askari wa makirikiri kushinikiza kipindi cha shilawadu kiruke hewAni.
 
Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….

Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!

Gerald Hando ameshangaa! Sasa hapo kosa lake liko wapi?!
 
Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.

Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizikwa wapi mwili wa Ben Saanane
Ungekata tu kichwa chako maana umejaza upuuzi unaupa mzigo shingo Yako

Pumbavu
 
Ungekata tu kichwa chako maana umejaza upuuzi unaupa mzigo shingo Yako

Pumbavu
Mpumbavu huwa hajijui ila wengine wote ndiyo wanajua kuwa ni mpumbavu. Pole nacho ni kilema
 
Mkuu,kwahiyo huu ndio ushahidi? unaweza kuupeleka Mahakamani huu ushahidi kweli?
Kwani umewahi kufika Mahakamani ukaona udhahidi unavyotolewa?
Au unadhani Majaji huwa wanakuwapo wakati matukio yanafanywa?

Ungekuwa umejaaliwa akili ya kawaida lazima ungegundua kitu kinaitwa premeditated scenario kwenye maelezo ya Zerobrain Makonda.

Alijuwa amemficha wapi ndiyo maana akatoa hiyo ahadi. Na gari iliyokuwa inatumika ni Noah nyeusi mali ya Lemutuz (RIP), ambaye alikuwa ni chawa wake

Ushahidi ni ushahidi tu ila ni kazi ya Mahakama kuchambua nankutoa maamuzi. Kwa hapa huwezi kuupinga kwa vile wewe siyo mtaalamu wa sheria sanasana wewe ni CHAWA wa Makonda
 
Kwani umewahi kufika Mahakamani ukaona udhahidi unavyotolewa?
Au unadhani Majaji huwa wanakuwapo wakati matukio yanafanywa?

Ungekua umejaaliwa akili ya kawaida lazima ungegundua kitu kinaitwa premeditated scenario kwenye maelezo ya Zerobrain Makonda.

Alijuwa amemficha wapi ndiyo maana akatoa hiyo ahadi. Na gari iliyokuwa inatumika ni Noah nyeusi mali ya Lemutuz (RIP), ambaye alikuwa ni chawa wake

Ushahidi ni ushahidi tu ila ni kazi ya Mahakama kuchambua nankutoa maamuzi. Kwa hapa huwezi kuupinga kwa vile wewe siyo mtaalamu wa sheria sanasana wewe ni CHAWA wa Makonda
Hapo kwenye red naona unanilazimisha na mimi kukujibu majibu ya aina hiyo yenye kashfa,
ngoja nikuangalie kwanza ingawa mimi hua nampokea mtu kama anavyokuja.
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Umemsikiliza Hando vizuri?
AU jiwe limekuangukia gizani?
 
Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.

Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?

View attachment 2896503

Hivi umemuelewa Hando?


Yeye alichosema Makonda alikuwa kiongozi enzi zile za uteketaji lakini hajamaanisha yeye ndo alikuwa anafanya huo utekaji.

Ni hivi yeye alikuwa kiongozi katika serikali wakati hayo mambo ya utekaji yanatokea lakini si kwamba yeye ndo mratibu wa hayo matukio..

Acheni kumchonganisha Hando jaribuni kusikiliza na kuelewa hiyo video clip.
 
Hivi umemuelewa Hando?


Yeye alichosema Makonda alikuwa kiongozi enzi zile za uteketaji lakini hajamaanisha yeye ndo alikuwa anafanya huo utekaji.

Ni hivi yeye alikuwa kiongozi katika serikali wakati hayo mambo ya utekaji yanatokea lakini si kwamba yeye ndo mratibu wa hayo matukio..

Acheni kumchonganisha Hando jaribuni kusikiliza na kuelewa hiyo video clip.
Hicho kichwa chako kama hakiwezi kuelewa alichosema Hando, basi ni kama bustani ya kufugia nywele
 
Back
Top Bottom