Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Naona Hando, mlevi mbwa nae anatoa mchango kwenye jamii.Naona anatumwa na time zero.
Unamtukana mwenzako mbwa kisa katoa maoni tofauti?. Tuiheshimu Sana ardhi tunayokanyaga, tusijione wa maana kuliko wengine kisa CCM .
 
Nyinyi mashoga mnashida sana na Makonda kwa sababu aliwanyosha na anaendelea kuwanyosha mpaka leo. Acheni huo ushoga wenu Mungu hapendi mtakuja kuchomwa moto!!
Wewe ndio shoga. Maana unautukuza ushoga kuliko kitu chochote. Halafu Makonda anawanyoosha CCM na serikali yake. Anaonyesha jinsi serikali ilivyoooza.
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Una akili timamu wewe???
 
Wenye chuki na Makonda wengi wao ni Mashoga tupu.
 
Yaaaaani utapeli wenu na propaganda zenuu juuu ya makonda mtaaibikaaa. BIBULIA inasema, watapigana nawe hawatakushinda. Campuni ya ufipa mumekamatika.

Yaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.
Biblia haikuzungumzia majambazi kama bashite, halafu kuitumia biblia kutetea majambazi ni kukosa Adabu mbele za muumba.
 
Nyinyi mashoga mnashida sana na Makonda kwa sababu aliwanyosha na anaendelea kuwanyosha mpaka leo. Acheni huo ushoga wenu Mungu hapendi mtakuja kuchomwa moto!!
Kama unabisha kampime marinda uone kama yamo
 
Wewe kama ulikuwa Kolomije wakati Makonda anamteka Ben Saanane, Roma Mkatoliki na MoDewji shauri yako.

Ila siku ya Makonda ipo tu atakuja sema mchana kweupe ni nani alimtuma na alizikwa wapi mwili wa Ben Saanane
Bado nitaendelea kukuona kama jinga tu, kuishi kwenye matukio na ama kusikia tu, hakuwezi kuwa sawa na mtu kukamatwa akihusika na tukio hilo

Kama wewe ni shahidi, ungekuwa umeshatusaidia kuamini kwamba Makonda ni muuwaji

Kama hauna uhakika na hauwezi kumpeleka kwenye vyombo vya haki, wewe ni mjinga tu
 
"Usikae kimya huku Bashite, poti wa Bwana Mkubwa, akiigeuza Idara kuwa ofisi yake binafsi. Akaitumia kwa maslahi yake binafsi" - Evarist Chahali
Mwanzilishi wa utekaji aliye hai Bashite aka Paul Makonda eti anashngaa utekaji.

Mwanahabari maarufu Gerald Hando naye anamshangaa Makonda kushangaa utekaji.

Ni nini watu hawa wawili wanachoshangaa?

View attachment 2895876
Hata ubalozi wa Marekani unashangaa kwa kumuona Makonda naye akishangaa kuhusu suala la utekaji.
 
Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….

Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!

Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….

Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!

Makonda alifanya uhalifu wote huo maana alipewa backup na aliyekuwa juu ya katiba. Alikuwa a anajua fika vyombo vyetu vya uchaguzi haviwezi kuchunguza tuhuma yoyote dhidi yake bila maagizo kutoka juu. Ww mwenyewe unataka ushahidi hapa maana unajua fika hakuna chombo Cha uchunguzi kinaweza kufanya kazi bila maagizo toka juu. Na huko juu ndio kumempa Makonda Sasa hivi kazi ya uenezi. Chini ya utawala huu Makonda ataendelea kuwa salama kwa uovu alioutenda.
 
Back
Top Bottom