Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Makonda ashangaa utekaji, Hando amshangaa Makonda kushangaa

Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.
Soma kwa kuelewa taarifa ya Secretary of State Pompeo juu ya Makonda
Screenshot_20240206_131244_Chrome.jpg
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Marekani wanao ushahidi, wewe unataka kupingana na baba wa taifa teule
 
Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….

Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!
Alimteka Roma Mkatoliki, nalo hili unalibisha.

Ukibisha basi wewe siyo mtu makini
 
Kama anaushidi na utekaji wa makonda, kwa nini hajampeleka mahakamaniii?? Aaache kumnanga mwwnzie eti aliteka, aliteka nanii. Hata mumuchafue vp makonda kwa namna yoyote ile kumbukeni ndio mnampaka mafuta ya baraka. Makonda chapa kaziii shujaaa, wenye wivu wajinyeee
Wewe naye uache unafiki. Rostam aliahasema mahakama zetu zina toa hukumu kwa kufuata maagizo ya simu moja.
 
Yaaani kwa mjibu wa kitabu cha yeremia kwenye bibulia, inasema watashindana nawe hawatakushinda. Watakao shindana na makonda wataaibika wao. Makonda kapakwa mafuta achape kaziiii.
Usipende kumtaja Biblia kwenye mambo ya kijinga. Umeskia wewe chawa wa Makonda
 
Weka ushaidi wa makonda kumteka ben saabane, weka hapa wewe unayekaaa ikwiriri. Weka ata kavideo kamoja tuone makonda akimteka mtuu. Yaaani makonda kawashika pabaya campuni ya ufipa yote. Mwacheni achape kaziiiii.
Unaelewa maana ya ushahidi? Ushahidi unatolewa kwa nani?. Punguza mihemko. Upewe ushahidi wewe kama nani?
 
Yaaaaani utapeli wenu na propaganda zenuu juuu ya makonda mtaaibikaaa. BIBULIA inasema, watapigana nawe hawatakushinda. Campuni ya ufipa mumekamatika.
Wewe utakuwa ni wale waliotajwa na CDF. Eti BIBULIA. Ndio nini hicho. Ila usipende kutaja Biblia kwenye ujinga
 
Kumbe unamchukia Makonda kwa kupambana na nyinyi mashoga? Yaani jitu zima unafirw??

Nyinyi mashoga mnapashwa kuchomwa moto kabisa na hao Wamarekani wenu na ndio maana Putin anawanyoosha kweli kweli.
Bashite mwenyewe junya,mzee six kala sana ule mzigo
 
Kama hamziamini mahakama kwa nini hamuendi kwenye mahakama za kimataifa? Au napo huko kuna CHAWA.?
Mahakama za Kimataifa unazijua?. Hukumu za mahakama za Kimataifa kwenye suala la jinai ni moja tu ICC. Na ile inafanyika baina ya serikali na ICC.
 
Yeye Gerald Hando kwanza anatakiwa kuwa Heda! Makonda akiamua kumjibu wataanza kusema hakuna uhuru wa vyombo vya habari!
Gerald Hando anapaswa kujua kuwa anatakiwa kuwa na ushahidi wa anayoyatamka kwenye vyombo vya habari na alipaswa kuweka ushahidi wa Makonda kumteka anayedhani alimteka! Hata mimi natamani kuona wanaosema alimteka mtu fulani waoneshe hata ushahidi kidogo….

Gerald Hando aangalie asije muharibia Diamond chombo chake kwa kuropoka na mwisho wakaanza kuomba msamaha …!
Mmeanza kutishia watu kuongea?. Wewe nani uwachagulie watu Cha kusema. Acha watu watoe maoni yao bila vitisho. Vitisho pelekeni kwenu. Mnatishia watu uhai na bado mnakufa vile vile. Punguza unafiki na kujiona wewe ndio mwenye haki
 
Back
Top Bottom