Makonda atafuta staili ya kuingilia Arusha!

Makonda atafuta staili ya kuingilia Arusha!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Paul Alberto Bashite Makonda mwenyeji wa Koromije aliyehamia Dar ukubwani na kulelewa na Mwanasiasa fulani na baadae kwenda mkoani kilimanjaro kujisomea na kurudi Dar kwenye CCM inasemekana anatafuta staili ya kuingia Arusha baada ya kushushwa cheo na kupewa ukuu wa mkoa. Inasemekana kushushwa huko kunatokana na hotuba aliyotoa wakati wa upokezi wa Ndege "flani na flani ni kitu kimoja"!


Je, tumshauri aingie na staili gani kwa "wadudu wa Arachuga?

makonda1-pic.jpeg


mm.jpeg


WhatsApp Image 2023-10-26 at 1.24.33 PM.jpeg


xxxxxxxxxx.jpeg


ccccc.jpg
 
Mangi Jaji Mfawidhi hamjaacha tu bifu na Wasukuma?

Mwamba hana shida ataingia tu kivyovyote na Mropokaji Lema awe makini
Hakuna Bifu, UVCCM na CHAWA toka ameshushwa cheo huyu bwana wanasema LEMA atakoma, sijui Lema amefanya kosa gani, lakini pia umetaja bifu na Wasukuma, hakuna pahala pametajwa kabila, wewe ndio umeleta na Kabila halihusiki ni tabia ya mtu kukaa mbele kama tai.
 
makonda arusha tayari iko kiganjani mwake siku nyingi hakuna uchochoro haujui apo arusha

akina lema sijui wana hali gani kwa sasa
 
Hii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.

Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.
 
Hii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.

Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.
Hata shetani anazungumzwa sana kwenye nyumba za ibada
 
Back
Top Bottom