Makonda atafuta staili ya kuingilia Arusha!

Makonda atafuta staili ya kuingilia Arusha!

Hii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.

Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.
Kula mchele wa lishe toka USA, ni muhimu kwa ubongo wako.
Kule si alikuwa anatoa magizo kwa waziri mkuu?
Si alikuwa anawaita mawaziri wote kama watoto?
Si alikuwa akiingia mkoa wpwote shughuli zinasimama na inakuwa kama raisi ameingia?
 
Kwa hiyo nyumba za ibada kazi ni kumjadili shetani?
Naam, SHETANI ndio kikwazo kikubwa cha maendeleo na kuwakosesha watu ufalme wa Mungu, anajadiliwa namna ya kumrudisha kwenye ziwa la moto.
 
Naam, SHETANI ndio kikwazo kikubwa cha maendeleo na kuwakosesha watu ufalme wa Mungu, anajadiliwa namna ya kumrudisha kwenye ziwa la moto.
Mmefikia wapi kwenye hilo? Au anawaongezea mada mpya kila siku kama makonda?
 
hiyo ndio kazi ya mkuu wa mkoa kwa mujibu wa ninyi UVCCM?
umenikosea heshima mkuu kwa sasa nimeshavuka UVCCM ndugu

mkuu wa mkoa kazi yake ni kumwakilisha raisi na ana majukumbu mengi kuyaorodhesha hapa ni kazi
lakina hili la matapeli wahujumu kukimbia jiji komredi anapowasili ni jambo la kawaida kwa kiongozi makini kama makonda
 
umenikosea heshima mkuu kwa sasa nimeshavuka UVCCM ndugu

mkuu wa mkoa kazi yake ni kumwakilisha raisi na ana majukumbu mengi kuyaorodhesha hapa ni kazi
lakina hili la matapeli wahujumu kukimbia jiji komredi anapowasili ni jambo la kawaida kwa kiongozi makini kama makonda
Nisamehe mkuu, nisamehe sana !
 
Back
Top Bottom