Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Upo sahihi, Wameru na Waarusa waonge kilugha gani?Aanze kwa kukamata na kuweka ndani yeyote atakayeongea kichuga, watakaovaa viatu vikubwa na visuruali vya kubana
Sasa watalii wakienda zao chuganiani, watajuaje kama wamefika? bado sijakuunga kwa hilo mkuu 😅Aanze kwa kukamata na kuweka ndani yeyote atakayeongea kichuga, watakaovaa viatu vikubwa na visuruali vya kubana
Hakuna Bifu, UVCCM na CHAWA toka ameshushwa cheo huyu bwana wanasema LEMA atakoma, sijui Lema amefanya kosa gani, lakini pia umetaja bifu na Wasukuma, hakuna pahala pametajwa kabila, wewe ndio umeleta na Kabila halihusiki ni tabia ya mtu kukaa mbele kama tai.Mangi Jaji Mfawidhi hamjaacha tu bifu na Wasukuma?
Mwamba hana shida ataingia tu kivyovyote na Mropokaji Lema awe makini
Oote mae!Amuite lema ampokee
Toka Gambosh au Sumbawanga?Safari atumia usafiri wa fisi
Wanamuona mbwiga tu huyu nyamitako wenumakonda arusha tayari iko kiganjani mwake siku nyingi hakuna uchochoro haujui apo arusha
akina lema sijui wana hali gani kwa sasa
Ya Kisimiri au Sokoni One?Ganja ndio Sifaa ya Arusha aingie nayo...hapo ataweza kuwatawala machalii
View attachment 2953681
Hata shetani anazungumzwa sana kwenye nyumba za ibadaHii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.
Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.
Ya Kisimiri haiwezi...Phantom ya Upareni inatoshaYa Kisimiri au Sokoni One?