Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #21
Kula mchele wa lishe toka USA, ni muhimu kwa ubongo wako.Hii concept ya kushushwa cheo huwa siielewi, Binafsi naona msemaji wa chama hana mamlaka yoyote zaidi ya kuwa spika ya chama na sasa Makonda kaingia katika utendaji serikalini.
Halafu huyu jamaa sijui ana nini, hapo hata akipewa uwenyekiti wa mtaa atazungumzwa na kutazamwa utendaji wake kuliko waziri.
matapeli wa arusha wakimbia hilo jiji kama machangudoaWanamuona mbwiga tu huyu nyamitako wenu
Wapare si watu watamchanganyia na miraa/mirungiYa Kisimiri haiwezi...Phantom ya Upareni inatosha
Hana uwezo huo msimvimbishe kichwa bure akaenda kuumia.matapeli wa arusha wakimbia hilo jiji kama machangudoa
Inamaana Bila Shetani hizo nyumba za ibada hakuna mada?Hata shetani anazungumzwa sana kwenye nyumba za ibada
hiyo ndio kazi ya mkuu wa mkoa kwa mujibu wa ninyi UVCCM?matapeli wa arusha wakimbia hilo jiji kama machangudoa
Kabla ya Shetani kulikuwa na utulivu.Inamaana Bila Shetani hizo nyumba za ibada hakuna mada?
Kwa hiyo nyumba za ibada kazi ni kumjadili shetani?Kabla ya Shetani kulikuwa na utulivu.
Naam, SHETANI ndio kikwazo kikubwa cha maendeleo na kuwakosesha watu ufalme wa Mungu, anajadiliwa namna ya kumrudisha kwenye ziwa la moto.Kwa hiyo nyumba za ibada kazi ni kumjadili shetani?
Unasema khadija kopa na mumeo wako modern taarabu?Khadija Kopa kishajitanguliza na mumeo pia si yupo Modern Taarab?
Mmefikia wapi kwenye hilo? Au anawaongezea mada mpya kila siku kama makonda?Naam, SHETANI ndio kikwazo kikubwa cha maendeleo na kuwakosesha watu ufalme wa Mungu, anajadiliwa namna ya kumrudisha kwenye ziwa la moto.
NdiyoInamaana Bila Shetani hizo nyumba za ibada hakuna mada?
Hahahahaha..kwa sasa macho na masikio ni Chuga.
Basi atawatesa mno na midahalo.Ndiyo
Lema mtu mkubwa Sana. Yani analetewa Mkuu wa Mkoa wa kushughulika naye na sio maendeleo.makonda arusha tayari iko kiganjani mwake siku nyingi hakuna uchochoro haujui apo arusha
akina lema sijui wana hali gani kwa sasa
umenikosea heshima mkuu kwa sasa nimeshavuka UVCCM nduguhiyo ndio kazi ya mkuu wa mkoa kwa mujibu wa ninyi UVCCM?
Nisamehe mkuu, nisamehe sana !umenikosea heshima mkuu kwa sasa nimeshavuka UVCCM ndugu
mkuu wa mkoa kazi yake ni kumwakilisha raisi na ana majukumbu mengi kuyaorodhesha hapa ni kazi
lakina hili la matapeli wahujumu kukimbia jiji komredi anapowasili ni jambo la kawaida kwa kiongozi makini kama makonda