Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Tanzania ya viwanda.
Hayo unayoyaita "madeksi" kwenye picha JKT hawawezi kuyatengeneza?
Mzigo unaoingia kwa manifesto yenye jina la mtu unataka kuelezeaje?

Madawati ya shule za mkoa wa Dar yanaagizwa na RC tena kwa jina lake? Na hataki kulipia ushuru?

Procurement procedure ndio zinasema mkuu wa mkoa anaweza kuagiza chochote ili mradi kiitwe cha matumizi ya umma?

Fedha ya kununulia hio mzigo iliyoka kwa nani? Kama jina la mzigo ni Paul Makonda basi fedha za kununua katoa/kalipa yeye.

Hilo kanisa alilotumia kugawa laana kwa wanunuzi wa hayo makontena litakua kanisa la hovyo kabisa.

Acheni kujitoa ufahamu....muda ni mwalimu mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kila aliyepigiwa mnada makontena au magari yake pale Bandarini angeenda wanunuzi walaani ANGEBAKI NANI?
 
TEA wanaweza kulipa vifaa ambavyo hawajaagiza?Tena vimekuja kwa jina la Makonda!
Malengo ya Makonda na TEA yanashabihiana kuhusian na hayo makontena; sasa kuliko mimi niyanunue nipeleke kwenye shule zanfu Uganda si bora TEA wakafanya hivyo?LOL
 
Ko jamaa anajiita MLIMA, afu yule kiongozi wa malaika anajiita JIWE..... Basi sawa!!!!!!!
 
Hahahah...haya ni mahoka!!

Bwana Makonda lipa ushuru wa forodha makontena yatoke, acha kibri
 
Anajisumbua tu asubiri rungu kutoka kwa mkuu litue kwake maana anayoyafanya yanamchafua mteuzi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ni msumeno. Lazima kodi ilipwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijui kwanini nashindwa kukubali hili sakata. Naona kama ni sinema ili tuamini kwamba sheria zinambana kila mtu. Usikute hata macontainer halisi yalishatolewa hayo yaliyo hapo ni bosheni tu. Kisa ichezwe movie kutuaminisha kwamba hata viongozi wanadhibitiwa kwenye kulipa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…