Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Tanzania ya viwanda.
Hayo unayoyaita "madeksi" kwenye picha JKT hawawezi kuyatengeneza?
Mzigo unaoingia kwa manifesto yenye jina la mtu unataka kuelezeaje?
Madawati ya shule za mkoa wa Dar yanaagizwa na RC tena kwa jina lake? Na hataki kulipia ushuru?
Procurement procedure ndio zinasema mkuu wa mkoa anaweza kuagiza chochote ili mradi kiitwe cha matumizi ya umma?
Fedha ya kununulia hio mzigo iliyoka kwa nani? Kama jina la mzigo ni Paul Makonda basi fedha za kununua katoa/kalipa yeye.
Hilo kanisa alilotumia kugawa laana kwa wanunuzi wa hayo makontena litakua kanisa la hovyo kabisa.
Acheni kujitoa ufahamu....muda ni mwalimu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app