Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Paul Makonda amekosa sifa za kuwa kiongozi.
Anachokifanya Paul Makonda a.k.a Bashite ni kuudhihirishia umma wa watanzania kwamba yeyeni mnafiki,mzandiki,muongo,mwizi,mjinga na zuzu!
Anaona sifa kuiibia serikali kodi wakati siku zote anajinasibu kumuunga mkono Mh.Rais Magufuli?
Hii ndio aina ya wateule wa Rais wetu alionao!
Wanafiki kama Paul Makonda wanastahili kupigwa risasi hadharani!
 
".............sasa nayaamini maneno ya Nape rasmi, kuwa kwa elimu/ufahamu wa huyu mtu kamwe hawezi elewa mfumo wa siasa na serikali inavyofanya kazi". Yaani RC anashindwa kujua sheria za kodi zinasemaje?????? Anakimbilia kanisani??
Huko kanisani si ndipo alipomwaga chozi baada kung'ang'aniwa aweke cheti mezani
 
Weee jamaa unasema kwa hili la makontena aeleweke aiache TRA ifanyekazi yake!! Huyu anatakiwa aeleweke kwa mambo mengi sana, amechafua watu majina yao kwa madawa ya kulevya, operesheni ya kutelekeza watoto, kauli mbovumbovu nyingi, ukweli kuhusu jina na elimu yake, etc
 
haya ni Majira ya Makonda, hakuna wa kushindana naye kwa sasa, isipokuwa hawezi kushindana na muda na muda unasubiri majira yake yakome ndipo hatima ya Makonda itajulikana kwa muda huo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anunue bidhaa kwa hela yake, kwa njia halali kabisa tena hadharani: laana inaingiaje hapa???!! Aisee.... Kazi kweli kweli....

Sent using Jamii Forums mobile app
Laana ya wasiojulikana itamhusu na mzee atamshughulikia mnunuzi tena huenda kupitia TRA hao hao. Msimamo na kiburi cha Makonda dunia nzima inajua kinatoka wapi.
 

We jamaa naona umeamua ufikirie nje ya box Tanzania kila kitu kinawezekana
 
kwani kama waziri wa fedha hawezimpa msamaha wa kodi si aongee na raisi kwa maana ni mtu wa karibu yake ili ampatie msamaha wa kodi au ni nini kinashindikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiwaambia hii Nchi inaongozwa na mazwazwa mnatoa mapovu sasa hebu fikiria huyo kilaza Bashite anatoa uharo eti atakaye nunua makontena atalaaniwa , WtF hivi huyo kenge anafikiri yeye ni nani labda ????

Unajua tunaelekea kubaya sana kwa kuchanganya mambo serious na siasa za majitaka nchi za ulaya mkwepa kodi anakuwa dealt effectively na punishment yake ni heavy pia hawaangalii mtu usoni

Watu kama Sylivio Berusconi , Messi ,Ronaldo wameshakutana na hii shuruba usipime mkuu watu huwa wanapata tabú saana , ni bora uue mtu kuliko kukwepa kodi utaandamwa na nyuki pande zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…