Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua


Mh usiogope vitisho vya DAB eti munuzi atalaaniwa, nakushauri kama unahitaji kitu nenda kanunue mkuu. Huyo Bashite ana usafi gani wa kutishia watu na laana zake??
 

Babake alimlelea hivyo kwa kumsikilizaa hata pale anapofanya ujinga, baba anampa heko! Hapo unategema nini mkuu? Sasa hivi anampanda babake kichwani, hadi anazuia taasisi za serikali zisifanye kazi!! Beside, huu cares, nchi ipo mikononi mwa...... (Refer Zitto)
 
Mie naona kama ni vifaa vya shule na Makonda alikusudia kuyasambaza mashuleni,washirikiane na TRA shule zipate vifaa.

Wakipiga mnada ina maanisha shule binafsi zitanufaika zaidi

[emoji252] [emoji479]
Hapa naona kuna zaidi ya samani za shule.
Maana hili suala lingeisha zamani kama ni vifaa vya shule kweli
Laiti tungeona hata picha tu turidhike



Sent from my SM using Tapatalk
 
Nimecheka kwa sauti.

Jamani, hivi safari hii "dady is not coming?"
 
Kama ni makontena ya Serikali wala hakunaga tatizo unatoa bila hata senti tano, hapo kuna tatizo tu, kwa nini hakuandika Jina la Ofisi yake? angeandika Regional Commissioner, Dar es Salaam unafikiri angetumia nguvu yaani yangeenda kutolewa kiulaini na maofisa wake.
 
Makanisa ya siku hizi yamekuwa hayana misimamo, na Kwakuwa wanasiasa wanafahamu hilo watayatumia kisiasa pia. Kanisa la sasa litakuwa kama kijiwe cha wanasiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda mwisho wa Siku kuna sheria za nchi..watu wote tunalipa Kodi wote na Serikali inasema kila mtu alipe Kodi ili itumike kufanya kazi za maendeleo.

Leo akija kila mtu na sera zake kwamba asilipe kodi manake taratibu zimevunjwa...tutakosa pesa na miradi itasimama miingi...

Kwa hili la Kodi ningemshauri asome kwamba sasa hata wakubwa wake wameamua kuuchuna na kufata taratibu..manake ajue sasa maisha yanabadilika hata yeye anatakiwa kutii sheria.
 
Mungu akamwambia mfalme Daudi, 'kamwe wewe huwezi kunitolea sadaka madhabahuni kwa kuwa mikono yako imetapaa damu za watu'.
 
Makonda bwana ana akili za kipimbi sana. Sijui magufuli alimpaje kaz ya kuongoza mkoa mkubwa kama dsm.
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Vichaa na failures ndiyo wanaong'anga'ania madaraka ya kuongoza nchi
Wenye akili timamu wamekaa pembeni wanaangalia vichaa wakiparurana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…