Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

conformation. kilichomo kwenye makontena ya makonda pale bandarini ni fenicha za hotel yake hapo mwanza.. ndo mana kil siku tunasema huyo anayeitwa mwadilifu sio mwadilifu sio hivyo.tuone kwenye hili atafanyaje?
Aiseee and yet he has the audacity to go to church and threaten ?? Inahitaji moyo wa chuma kweli kuwa na huu usafiri, tena kwenye nyumba ya mungu na mbele ya viongozi wa dini!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TRA wamejaribu kuyapiga mnada lakini wamekwama?

1. Hakuna wanunuzi?
2. Siku ya mnada ikifika, kuna dharura zinajitokeza?
3. Kuna kesi mahakamani kuzuia uuzwaji wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thubutu, labda awe ametoka darakani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu anaondoka mjini namuona kulee akiangalia kwa mbali jahazi likielea
 
Mkuu mbona mpango kasema vizuri tu kwamba kisheria, ofisi za tawala za mikoa hazipewagi misamaha? Inamaana hata kama angeweka RC Dar, bado ingetakiwa kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri unamaamuzi vifaa vya shule lazima kutumia madaraka yako visambazwe kwenye shule kusudiwa, Makonda alitimiza wajibu wake hata kama kina mapungufu malizeni ofisini wote niwatumishi wawatu kunanini kutunishiana misuli, vifaa vya shule peleka shuleni tra kusanya kodi nyingine, mkuu katimiza wajibu wake mnamnyanyasa sana,
 
Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.

Yaani unasema RC wetu ni mpinzani?? Waziri wa shilingi naye alipofungua na kutuonesha vyombo vya mahotelini naye ni mpinzani uchwara?? Naona unatafuta kupopolewa mawe wewe
 
Huyo zero brain yeye ndio mwenye laana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Wewe ni mteja nini unaogopa maombi ya bashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 

mie nilikua sijui kama ni kazi ya wanadiaspora,hadi nimejionea aibu lol..mkuu Makonda ungewasiliana na watu wa kodi kabla mzigo haujatua bandarini,na wewe kukana yalivyoletwa ndio imeleta tafrani..sijui nini kisa ila tutajua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…