Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Akili mali.

Unaulizwa juu ya makontena.

Unajibu hutishiki na wanaokuonea wivu juu ya maendeleo ya Dar es Salaam.

Kwa maendeleo gani sasa? Kila project ya Makonda hua na matobo mengi sana hakuna anayeweza kumuonea wivu mtu wa hivyo.
.......! 0 on paper!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA

Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali

Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda

"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda

Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake

Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia



Sent using Jamii Forums mobile app
Alipe kodi hamna shortcut ,yangekuja kwa jina la ofisi ingependeza zaid;

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasahau kusema kuwa vita ya madawa ya kulevya ndio imesababisha yote haya.

Na mkoa unafanya vizuri?
Mkoa upi mbona rais alisema kuwa mapato ya dsm yalizidiwa hata na dodoma
Au tuna rais zuzu zaidi ya Makonda?

Na ni kabisa gani hilo ambalo Lilimruhusu Makonda kuongea ushuudhi?
 
Ameenda tena kulia kanisani...?!!
Analia nini sasa?! Kwani tra wamemwambia apeleke vyeti?![emoji852]️[emoji852]️
Naomba kuwasilisha tafadhali.....
images-2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA

Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali

Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda

"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda

Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake

Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia



Sent using Jamii Forums mobile app
Hzo style za kuingza vitu kwa mgongo wa kanisa ,msikiti au ofisi fulani ili kukwepa kodi zimefanyika sana awamu ya nne ;

Hapa kazi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom