Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Kashazidiwa kete na Mke Mdogo, Bi. Kisarawe!Huko dua lilikwenda kwa Mungu kwa jina gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashazidiwa kete na Mke Mdogo, Bi. Kisarawe!Huko dua lilikwenda kwa Mungu kwa jina gani?
.......! 0 on paper!Akili mali.
Unaulizwa juu ya makontena.
Unajibu hutishiki na wanaokuonea wivu juu ya maendeleo ya Dar es Salaam.
Kwa maendeleo gani sasa? Kila project ya Makonda hua na matobo mengi sana hakuna anayeweza kumuonea wivu mtu wa hivyo.
Na kule UVCCM sasa hivi kuna blood ndugu wa baba
Alipe kodi hamna shortcut ,yangekuja kwa jina la ofisi ingependeza zaid;Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA
Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali
Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda
"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda
Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake
Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu alishafanya settings zote ; hapat tabuMungu ana kazi sana, yani ingekuwa kila analoliomba mwanadamu Mungu angelifanya, basi dunia isingekalika.
Ameenda tena kulia kanisani...?!!
Naomba kuwasilisha tafadhali.....Analia nini sasa?! Kwani tra wamemwambia apeleke vyeti?![emoji852]️[emoji852]️
Hzo style za kuingza vitu kwa mgongo wa kanisa ,msikiti au ofisi fulani ili kukwepa kodi zimefanyika sana awamu ya nne ;Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA
Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali
Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda
"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda
Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake
Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam
Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yao ni thamani za shule.Kuna Mizigo gani ndani ya containers?
Bikini chaki na ubao pia kuna bashiteKuna Mizigo gani ndani ya containers?