Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

jamani vitu vingine tuwe na akili hivi unadhani magufuli au serikali itakuwa haijui kuwa makonda aliagiza hizo furniture kwa ajili ya kusaidia?
 
Njaaa itakuuwa wewe yaani naona umechoka kubeba mabox huko ulipo?kwa taarifa yako huku Bashite hana tena issue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hakupata maelekezo vizuri kutoka kwa muhusika yaani Bashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli na bila hiyana alichokifanya mh Paul Makonda ni sahihi kwa maendeleo ya elimu mkoani kwake.Kama kuna ukiukwaji wa namna ya kuagiza ni vema serikali ikamsaidia na kusimamia ugawaji wa vifaa hivyo vya kuboreshea miundombinu ya elimu yetu.Nampongeza kwa juhudi zake za kusaidia elimu mkoa wa Dare salaam na amefanya hivyo kwa sababu yeye ni mkuu wa mkoa mmoja hivyo anajijenga kwa ajili ya mkoa wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu fanicha nje n cheap compared na hapa bongo ndo maana wali imports

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hopefully una CPA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…