Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Umeandika vizuri kabisa ! Big up ! Hapa palikuwa panachezwa mchezo nchafu hakuna lugha nyingine !!
 
Walimu gani wanaagiziwa vitanda. Kwenye makontena kuna fenicha za hoteli ndo maana kaagiza kwa jina lake.
 
Kwanini Makonda asivilipie kodi hivyo vitu? Maana kwa kufanya hivyo atakuwa ni mzalendo mara mbili
1. Kodi yake itasaidia nchi
2. Vifaa vyake vitasaidia juhudi za elimu
 
Naungana na mtoa post kupinga vikali upigwaji mnada vifaa hivo tena vya msaada, japo nakiri kwel Makonda kukosea hasa pale alipo amua kutumia jina lake badala ya taasis ya Elimu.

Bado nawasihi viongozi watumie busara na hekima hasa katika utatuzi wa matatizo mbali mbali ili kutoleta sintofaham kwa umma zisizo na tija kwa jamii.

Da Pride

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wenye akili za namna hii sijui wametoka wapi
hivi hakuna asiyemjua makonda kuwa ni mpiga dili
mtu ana kila aina ya tuhuma
eti ameagiza kwa jina lake kwa ushauri mbovu wa wasaidizi!!!!really!!!
ningekuwa karibu na wewe ningekutia ngumi
 
nasikia leo tena kayakana wakati anazindua sijui ndiyo tume ya waliotelekezewa watoto
 
Kuna wanaodhani wapo juu ya kila kilichopo nchini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mmoja yuko sahihi Kwa tafsiri yake, Mr planner anasimamia Sheria, baba k anasimamia siasa( kiki).Inatakiwa awe mfano wa kulipa kodi Kwa vitendo ili wengine wafate,baba mwenye nyumba anahimiza watu kulipa kodi iweje mtoto awe mfano mbaya wa kutokulipa kodi.Ingekuwa ni upinzani ndo wangeagiza visingekaa hata miezi 3 storage siku nyingi vingeshapigwa mnada

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Popote nikona maneno hayo kwenye red najua msemaji ni tikiti maji kichwani, ukiwa na kitu kichwani utakuwa mpuuzi kuamini mtu au kiongozi kushauriwa vibaya na watu wa chini yake. Ukiona unashauriwa vibaya na huyo wa chini yako tafsiri yake you are not competent enough na bora umuachie huyo mshauri kiti chako. Tukubali kusema kiongozi fulani kakosea, awe nani au kiongozi mwenye ndevu hadi kwenye magoti akikosea tuseme kakosea ama kwa kutokujua au kwa kupuuzia siyo kusingizia washauri.
 


Hivi ule msikiti au Ofisi za BAKWATA vile alioahidi Mr Makonda je alishamaliza kuwajengea? kuna watu wanasema Makonda anajenga Mall fulani kule Mwanza je kuna ukweli wowote? naamini kauli ya waziri Mpango haikuwa sauti yake pekeee bali kuna kitu kinachomhusu jamaa kiko jikoni na kikiiva tutakiona mezani soon...ugonjwa sugu huanza taratibu na kutoka huwa ni taratibu pia
 

Kinachonishangaza ni kwa nini mpaka leo hili swala lipo pending wakati RC ana 'baraka' zote baada ya kushataki kwa Rais?. Kama tumeamua kufanya mambo kinyume na sheria, ni bora tuyasikie tu kama taarifa kwamba yamefanyika , badala ya kupiga danadana kana kwamba kutakuwa na mabadiliko!
 
Kwani hao hayo wanayajua kipindi kile mbunge lema zile ambulance zilipozuiliwa bandarini hadi alipe kodi wakati hazikutakiwa hao hao ndio walikuwa wakishangilia kuwa sheria lazima ifuatwe,akazilipia leo ni mwenzao ndio wanatumia kuwa SHERIA YA BUSARA itumike??hiz double standard za nini??mambo haya huwezi kuyakuta kwa wazungu hata siku moja!!
 
sio ipo siku ataingiza.. TIARAEI wameustukia ule mzigo ulikuwa na vitu visivyohusika na shule. vitanda makabati ya hotelini na shule wapinawapi... tujiulize tu hivi huyu bashite ile elimu yake ya FA FA FA FA ulitegemea angekuwa na ujanja wa kufanya aliyofanya? katumia usanii wa kizamani ndo mana kafeli wewe ni mtumishi wa sirikale sheria za kazi kwani hazijui? na kwanini hakuzifuata ? wajanja wa gsm wamemingiza chaka imekula kwake.. ntamshanga SIZONJE akiendelea kulea yaiVIZA
 
HUYU BWANA ALIZUIWA KUTOA HII GARI YA WAGONJWA ALIYOILETA KUSAIDIA JAMII ETI MPAKA ALIPE KODI YA SIRIKALE.
HAKA KABASHITE KAMELETA KONTENA 20 KANATAKA KATOE BURE NYAMBAAAFFFFFFFFFFFFFFFFFF!!
 
kujificha nyuma ya walimu ni utoto changamoto za walimu zilikuwepo na zitaendelea kuwepo. Ila Kuna kitu watu hawakijui, kuna siri katika makontena hayo just wait time will tell! ujanja ujanja una mwisho, lipa kodi uchukue biashara zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…