Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Hujui ulisemalo! Hizo fanicha ni za GSM
 
Hivi sheria inasemaje? Kama hvyo vifaa havina msamaha basi mjadala umeisha maana sheria haichagui.
Siku kwa mfano mtu ameazisha shule yake ana leta vifaa asilipe kodi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wana wivu sana na Makonda lakini mkae mkijua amewaacha mbali sana na saco cos yenu
JAMANI Kumbe waziri na TRA iko chini ya CDM jamani chadema mpeni huyo makontena yake ili mcwe na wivu sana kweli akili ni nywele na wewe unazako////////
 
Siasa vipi?Barua ya Mpango kwenda kwa RC inatembea mitandaoni umeisoma?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiapo alishakula akiwa anaapa kuwa DC then RC.
Sheria ipo.
Ifatwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Muwe mnaelewa.
Kama una "Elimu ya Kubangaiza" like Makonda utapata uzito kuelewa.
Unataka aelimishweje yaani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYIE WATETEZI TUNAOMBA MTUAMBIE, YALE 16 ALIYOKWISHA YATOA BANDARINI YAKO WAPI? JE, MMESHAWAHI KUONYESHWA HATA WAKATI ANAGAWA HIVYO MNAVYOVIITA VIFAA VYA ELIMU
 
Hakuna anayetaka kumnyang'anya Makonda makontena yake, Yeye alipie kodi tu basi, kwa kufanya hivyo atakuwa ni mzalendo zaidi kwa sababu mbili

(1) Kalipa kodi, kaisaidia nchi hela za kununua dawa, kujenga shule, barabara etc

(2) atakuwa amesaidia vifaa vya elimu

Hapo si itakuwa poa zaidi?
 
Chadema wana wivu sana na Makonda lakini mkae mkijua amewaacha mbali sana na saco cos yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni wewe halisi. Hatimaye umeshindwa kuficha ujinga wako ukaamua kuuanika wazi

TRA ni ya Chadema?
Kuna madarasa na ofisi nyingi za walimu Dar zinajengwa kwa juhudi binafsi za Makonda
JKT wamejitolea kujenga bure hizo ofisi .

Ngoja ziishe kujengwa alafu walimu wataenda kukaa chini humo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ulichangia kama gentleman, I doubt sio wewe....kuna mtu alikushikia simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda karipotiwa kusema watakaonunua makontena hayo watalaaniwa, Waziri kampaka Makonda, halafuMakondakaoneshwa kwenye TV akisemahana habari za makontena hayo.

Bongo Movie kwa hisani ya Serikali.
 
Kwa nature ya shule za Tanzania zile furniture zisingekuwa na msaada wowote, those were office furniture and not designed for schools.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…