Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Yeye mwenyewe ameshalaaniwa...
Mzulumati mkubwa nayeye anaanza kupimiwa kile kipimo alichowapimia wananchi.
Yaani kipimo chake kitajaa nakusukasuka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poor and stupid Makonda. Kwanini asimlaani baba yake aliyeruhusu hayo makontena yaliyoletwa eti kwa ajiri ya kuwasaidia walimu yapigwe mnada?
 
Si alisema anaenda kuwashitaki kwa Baba?
Je huu ndo mwanzo wa mwisho wake?
 
Nilisikiaga kama yalikanwa, kwamba si ya kwake, lakini leo nakutana na kitu tofauti hapa, huenda kuna jambo kubwa zaidi ya hili ambalo tunalijua hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…