Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Mleta mada labda una lako jambo ! Yaani wewe unataka waziri avunje sheria kisa makontena ya makonda kawaletea walimu vifaa !!! Kesho akiingiza mengine kwa kisingizio hicho kumbe kuna ujanja ujanja ? Wewe acha sheria za nchi zifuatwe usijitie kuwa na huruma, hao walimu wana magumu mengi tu itakua ya meza na viti !!

HAKUNA MSAMAHA WA KODI !
 
Mama tibaijuka alienda kwa braza wake Ruge kumuomba msaada wa pesa kidogo ili aendeshee shughuli zake.braza akapiga pigs miamala akampa.lakini bunge lilimkaba akalipa kodi ya kiasi alichopokea kama sheria inavyomtaka.sasa kW nini zawadi ya makonda isilipiwe kodi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyepost hii post maskini ukute hata makontena hajayaona kwa nje. Lakininatakuambia kuna furniture za shule.

Unadhani Rais hajui?/Unadhani TRA hawajui? Ingekuwa ni furniture za shule nina uhakika zingeruhusiwa tu ni lazima kuna kitu kwa nyuma.
 

Wisdom Is Not Law. The laws are for development (yet you break em!) why do you need them in such??! nchi/serikali inaendeshwa kwa utaratibu unaotakiwa kufuatwa na sheria. sheria kama haifai kuna utaratibu wa kufuata ibadilishwe. Ni upuuzi to categorize uvunjaji wa sheria wa viongozi ama wanasiasa, wananchi wakivunja nawao for the sake is wisdom is better than law itakuaje?

let me insist on my post,..wisdom is not a law, usijichanganye., is like Proverbs and the Ten Commandments kwa wale waumini wa dini , kuna tofauti. there are no opposite laws or opposite commandments, yet we are all familiar with opposite proverbs. wisdom is only wise when applied correctly in the right situations. we can't read read or interpret Proverbs (wisdom) the same as the Ten Commandments (laws), yet in the fight against ignoring REALITY (kama mnavotaka kuupotosha umma na kuwaaminisha wananchi isivyo), you tend to fear situational wisdom.
 
Unaambiwa zilikuwa contena 36!
 
Vipi kijana unaongozwa na tumbo Sikh hizi au ni miongoni mwa wale waliopewa teuzi hivi karibuni
 
Nakubaliana na wewe, ila nikileta yale makontena yangu nayotaka kuyaleta kwa jina langu mtanitetea maana napenda pia nikatoe misaada na mimi pia, au mtanikimbia kwakuwa mimi sio Makonda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hiki kinachoniumiza kichwa, je kila mwananchi akiamua kuleta makontena yake kwa staili hiyo hiyo mtaturuhusu au sheria sio msumeno na haiangalii sura, km mtaruhusu badi mruhusu makonda free kiroho safi na sisi tuna ndugu diaspora wapo tayari kutuma makontena kwa majina yetu, just say its OK and we flood misaada nchini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hili hatuna haja ya kupepesa macho sheria iachwe ifuate mkondo wake na sijui kwanini imekuwa na mjadala mrefu hivi wakati issue iko wazi na taratibu zipo huo mzigo upigwe mnada tu ikishindikana basi vigawiwe tu ili iwe fundisho kwa wengine ambao watataka kujinufaisha kwa kupitia njia hiyo.

Maana sheria ipo kwa ajili ya wote na siyo kwa wengine huku wengine wakiwa untouchable
 
Ila wakibadilisha sheria itatufeva wengi tunaopenda kuingiza mizigo, free kodi, kigezo msaada tu and off you go

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill of lading ilishabadilishwa inasomeka jina la ofisi ya mkuu wa mkoa
Hapa tatizo ni kwa nini Makonda ameleta msaada sio sheria
Kama Mpango anafuata sheria,mbona hamuamuru kamishna wa TRA alipe mabilioni ya VAT refund ambayo yanatakiwa kurudishwa kwa wafanyabiashara?
Sheria inatekelezwa kwa Makonda tu,kuna vat ipo kisheria atekeleze sheria awarudishie watu mabilioni hapo nitamuona wa maana
 


Yes, of course laws are for the developments, what then if laws happen to hinder developments??, will you sit and see things go wrong only because of stupid law you impose yourself for you is applicable to kill your !!, that's insanity , had they been imposed for you by someone that would have been another case. It will come a time patients die only because a law stops an incumbent to authorise drugs from store.

We have seen Airport constructed contrary to the parliament concession and some other stuffs being purchased the same way, only to bring about developments, why then is it impossible to apply the same rule for the case??.

Yes, a wisdom applied wisely is better than the law imposed irrationally.
 
Hakuna mwana-CCM yeyote na uzwazwa wao anayeside na Makonda kwa lolote. Jamaa yupo onely ndani ya chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…