Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Mie naona kama ni vifaa vya shule na Makonda alikusudia kuyasambaza mashuleni,washirikiane na TRA shule zipate vifaa.

Wakipiga mnada ina maanisha shule binafsi zitanufaika zaidi

[emoji252] [emoji479]
 
Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
 
Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Kumbe yameshafunguliwa!?

[emoji252] [emoji479]
 
Kama ni vifaa vya Shule wangemwachia tu, akavisambaze mashuleni au hao TRA wakasambaze mashuleni kuliko kukaa nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kuna mtego na unaweza kwenda ndivyo sivyo ukatumbuliwa cha msingi kufuata taratibu walizpjiwekea tra kuhusu bidhaa za aina hiyo zinazo ingia.

swali tu dogo unadhani tra wangekuwa wrong mkuu angekua hajala kichwa cha mtu mpaka sasa?

sasa apindishe mambo waone kwa kumwogopa bashte...
 
Taarifa huripotiwa kwenye vyombo vya habari kama runinga, redio, magazeti, majarida na mitandao ya kijamii. Iliporipotiwa taarifa ya uingizwaji na uwepo wa makontena yenye jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda mwanzoni iliripotiwa kuwa Makonda 'aliyakana' makontena hayo.

Baadaye, ripoti zinadokeza kuwa RC Makonda 'aliyatambua' makontena hayo yaliyokuwa mikononi mwa TRA na kudai kuwa yalikuwa na samani za shule za mkoa wa Dar es Salaam. 'Akatishia' hata 'kuwashtaki' TRA kwa Rais. Mambo yakawa kimya hadi sasa inaporipotiwa kuwa TRA wamejaribu kuyapiga mnada bila mafanikio.

Sasa inaarifiwa kuwa RC Makonda amekwenda kanisani 'kufanya maombi maalum' ya kukwamisha mnada wa makontena yake. Ametishia kuwa yeyote ambaye atayanunua atapata laana! Kimsingi, ni Dhahiri sasa kuwa RC Makonda anayatambua na kuyapigania makontena yake. Makontena hayo yana nini hasa? Kwanini yalikuja kwa jina lake?

Namsihi RC Makonda, katika hili la makontena yanayoshikiliwa na TRA, aeleweke. Aiache TRA ifanye kazi yake na si kutaka kuionyesha TRA kama iliyo kwenye 'mission' naye kuyahusu hayo makontena. Mnada ufanyike na mambo mengine yaendelee. Namsihi RC Makonda kuacha pia kuwatisha 'kimaombi' wateja wanaotaka kuyanunua makontena hayo.

Kazi njema wakuu wote!
ina maana kipenzi chake mkulu naye amekaa kimya akisikilizia inshu hapo patamu,maana hata tra nao matumbo moto hawajui wafanye nn,usishangae WAKAYAPIGA mnada akayanunua tena mwenyewe hii ndio TZ,
 
Makonda huyu huyu mwenye body guard pande zote leo anatetemeshwa na TRA? Hpn anapaswa kujiuliza mara mbilimbili ni wapi alijikwaa mbona kama heshima yake inashuka kwa kasi hivi!!! Ajiandae kisaikolojia kwa kweli sioni Mwisho mzuri kwake kwa awamu hii nadhani ipo siku atarudi kama alivyokuwa mwanzoni. Huwezi kuwa na ukwasi kumshinda bosi wako wakati siasa umeianza juzi tu. Kuna kitu dogo ipo siku kitamkuta tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA

Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali

Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na huruma na kudai kuwa wanamchukia Makonda

"Kama wanachukia Makonda waondoe nembo ya majina yangu kwenye makontena hayo" alisema Makonda

Ni mara nyingine viongozi wa serikali wanasuguana na taasisi za serikali katika kutekeleza majukumu yake huku kiongozi huyo wa mkoa akihisi anaonewa na ni wivu unaofanywa na TRA kisa anafanya vizuri katika mkoa wake

Juzi Paul Makonda alikaririwa na vyombo vya habari kuhusu kupigwa mnada makontena yake,akisema yeye hatishiki na ni mlima hawezi kuyumbishwa na wale wasiomtakia mema katika harakati zake za maendeleo ya Dar es salaam

Kwa hali ilivyo sasa ni dhahiri kuwa Makonda analaumu serikali kumhujumu na hakubaliani na TRA na mambo inayomfanyia

Fata sheria . Tambua hauko juu ya sheria
Nchi inataka kodi kama vitu vya misaada kwa shule kabidhi kwa wizara nao wataomba msamaha ili wazambaze mashuleni.
TRA watajuaje kama vifaa vitaishia kuuzwa na kujipatia fedha kinyume.
Kwa ufupi hauko juu ya sheria kwa sababu ni mkuu wa mkoa.



Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kazi kweli kweli..mtu alaaniwe kwa kununua makontena?
 
Maigizo tu hayo. Yani Makonda mali zako zikwame Bandarini!!?

Kwanza pesa ya kutoa anayo, pia akimwambia tu Baba yake dakika 1 tu simu inapigwa.
 
Madeksi hapo sijaelewa ni kitu gani

Hizo mbao Za kufundishia wakagawe mashuleni.

[emoji252] [emoji479]
wooden-school-desk-500x500.jpg
 
Malipo ni hapa hapa, atawewesuka sana; kama kweli yasemwayo ni kweli ... kijana ana shida.
 
Back
Top Bottom