Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,647
Kwa jina la baba (Jiwe), la mwana (Bashite) na la roho mtaka kontena (Makonda)!Hilo dua lilikwenda kwa Mungu kwa jina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jina la baba (Jiwe), la mwana (Bashite) na la roho mtaka kontena (Makonda)!Hilo dua lilikwenda kwa Mungu kwa jina gani?
Zumbe naneeeeKwa jina la baba (Jiwe), la mwana (Bashite) na la roho mtaka kontena (Makonda)!
hatumtaki, bakini naye huko huko wanaume wa dar na misambwanda mikubwa!
Ekadu wau tisionge netishungwe!Zumbe naneeee
Huyu ni mzigua
Nkwei umbuje tikaue duEkadu wau tisionge netishungwe!
Nkwei maa...niughushizia watumba na muamu!Nkwei umbuje tikaue du
Bado msikitini, apigilie na kanzu na baraghashiaAmeenda tena kulia kanisani...?!!
Zitebua umbujeNkwei maa...niughushizia watumba na muamu!
Ulikuwepo wakati yanafunguliwa.Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Humua wedi nyaangu!Zitebua umbuje
Na iweHumua wedi nyaangu!
Kweli we ni redioMakonda anapambana kwaajili ya wananchi husan wa DSM.Jitihada zake zimeonekana kwa mambo mengi lakin kunawatu wamejaa chuki dhidi yake .
Namtia Moyo Makonda, Endelea kupambana kwakua watu wanaona juhudi zako atakama baadhi wanachukia mafanikio yako ila wanaelewa mchangowako.
Kumbuka ata wana wa Israel walilazimisha Baraba mhalifu mkubwa achiwe huru ila Yesu aliye watendea mema muda wote asulubiwe hayo ndio ya ulimwengu huu. Chapakazi braza mwisho utavishwa taji.
Sent using Jamii Forums mobile app