Hata waziri mkuu kaambiwa amalize migogoro ya ardhi mara moja!Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za ccm mkoa wa mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya nyerere.
Mwenezi wa taifa makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe maramoja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.
ππππ π€£Hata waziri mkuu kaambiwa amalize migogoro ya ardhi mara moja!
Kabisa hiyo lift ilikuwa kero na hatarishiWajinga ndio waliwao! "mmefurahi mno kwa hilo"
sema huyo mzee nyuma ya makonda sikumuelewa kabisa yani anakodoa wala hajali kamera na watu wapo kwenye sala.
Halafu unaweza kukuta kuna watu wanaamini hayo maigizo ya huyo muhalifu.Hata waziri mkuu kaambiwa amalize migogoro ya ardhi mara moja!
Huko ccm huyo sio mzee, ni bado kijana kabisa. Umesahau wakati JK anagombea urais kwa mara ya kwanza akiwa ni miaka 54 walikuwa wanasema atakuwa rais kijana?sema huyo mzee nyuma ya makonda sikumuelewa kabisa yani anakodoa wala hajali kamera na watu wapo kwenye sala.
Imesolve tatizo lenu kubwa kabisa? Hapo!Kabisa hiyo lift ilikuwa kero na hatarishi
Hapa wangemuweka kelbu za nguvu kurejesha akili iliyopotea na vyeti vyake.
Wasifurahi Kwa Nini,wazembe nchi hii ni wengi wanataka kazi lkn hawazifanyi dawa Yao ni mako tu.Wajinga ndio waliwao! "mmefurahi mno kwa hilo"
Wacha tuone kama ni movie ya kihindi sterling kufia kwenye mauwa!Halafu unaweza kukuta kuna watu wanaamini hayo maigizo ya huyo muhalifu.
Hao wazee waliamini baada ya magu kufa wataanza tena kumiliki flemu za biashara za chama cha mapinduzi..sasa wamegundua itikadi za makonda zitawapoteza tena.
Kama ana nguvu kuliko mwenyekiti basi apewe uenyekitiMakonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.