mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
Hiyo rift ya enzi za nyerere... Sipandi hata niikute nzima kiasigani.Huu uchawa huu ni zaidi ya uchawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo rift ya enzi za nyerere... Sipandi hata niikute nzima kiasigani.Huu uchawa huu ni zaidi ya uchawa
Sara gani? Kwa hiyo kwa umri wake nae akaigize? Hayo ya watu wasiojitambuasema huyo mzee nyuma ya makonda sikumuelewa kabisa yani anakodoa wala hajali kamera na watu wapo kwenye sala.
Hii nchi ina raia wana mawazo ya ajabu na ndio wengi. Kila ninavyozidi kuwaelewa watanzania ninazidi kuamini ccm hata bila kuiba inashinda tuHuu uchawa huu ni zaidi ya uchawa
Makonda ameagiza vyoo vya stendi videkiwe 😂😂😂😂
makonda ameagiza daladala ziwashwe kwa kusukumwa
Makonda makonda makonda
Pia mwenezi wa taifa Makonda kaamuru vita kati ya Israeli na Hamas visitishwe mara moja. Anazidi tu kutenda miujiza.Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.
kwani watu waliacha kutumia jengo baada kuharibika kwa lift!!? Mbona huyo makonda hasemi anaomba dola ipatikane haraka iwezekanavyo au ajira na vima vya mishahara viongezwe mara moja.. tunapeleka sanaa kwenye sekta muhimu za nchi... yan fisiemu iko bize kulisha ujinga nchi nzimaHiyo rift ya enzi za nyerere... Sipandi hata niikute nzima kiasigani.
Kwahiyo hela ya ujenzi ilikuwepo lakini walikuwa wanasubiri amri?Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.
Atakipasua chama haraka snHata kama anapambana hizo sifa za kijinga sasa, too much.
Ofisi ya chama ni clinic hadi wajawazito waende hapo? Hovyo sana.Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.
Kama vichwa hivi ndio vinavyoongoza nchi, basi tutakuwa maskini milele
Mama kaamuru shuka lililokuwa limepasuka lishonwe mara moja. Halafu unashangilia?? Kuna kipya hapa?Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.
Uongozi ni vitendo!, sio maneno matupu...Safi sana!Makonda kafanya jambo la kihistoria, pale ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kulikuwa na lift mbovu hatarishi lift hii iliharibika tangu enzi ya Nyerere.
Mwenezi wa taifa Makonda kaamuru hiyo lift itengenezwe mara moja, safi sana sasa hivi adha ya kupanda kwa ngazi hasa kwa wazee walemavu na wajawazito itakwisha.